Lusinde: Kiti cha spika kinapwaya

Lusinde: Kiti cha spika kinapwaya

Lusinde amesema makinda anapwaya kwa kuwa sasa hivi halindi maslahi ya ccm, anafuata pressure ya UKAWA, na kwa kufanya hivo CCM inaumizwa kwa kuonekana hamna wanalolifanya.

CCM wanadhani jimbo la Mtera limekosa mwakilishi makini na hivyo juhudi zinafanyika ili wamng'oe, na mimi sina hakika kama wakati kama huu mwakani tutakuwa naye maana CCM wakimkosakosa nina hakika UKAWA hawatamwacha, lazima atamumwaga. Hatuwezi kuwa na wabunge ambao kkazi yao kubwa ni vijembe na halafu akafikiria atachaguliwa tena kwa vijembe vyake. Tundu Lissu alipodai apewe dakika zaidi ya dk tatu ambazo spika alizokuwa ameamua zitumike alikuwa amefuata kanuni na taratibu za bunge na ndiyo maana spika alikubaliana naye, sasa mbunge ambaye siku zote yuko bungeni lakini hajui hata hizi taratibu rahisi anakaaje bungeni. Wabunge wote wa aina yake lazima wawapishe wenye uwezo wakatufanyie kazi.
 
Pro-Chadema wengi uwa wanafiki sana hawajui wanachotaka wala wanachokipigania.

Juzi walikuwa wanaungana na Lusinde kuhusu ushahidi wake kuwa Zitto Kabwe aliongwa milioni 10 na PAP.

Tukaambiwa kuwa anafuatiliwa na TAKURU, leo tena pro-Chadema mnapingana na Lusinde.
 
Pro-Chadema wengi uwa wanafiki sana hawajui wanachotaka wala wanachokipigania.

Juzi walikuwa wanaungana na Lusinde kuhusu ushahidi wake kuwa Zitto Kabwe aliongwa milioni 10 na PAP.

Tukaambiwa kuwa anafuatiliwa na TAKURU, leo tena pro-Chadema mnapingana na Lusinde.
Ujumbe wake katika kuchangia mada ya escrow ulikuwa unamlenga zitto au ulikuwa unalenga kuwaokoa watuhumiwa wa escrow?
Taja mwanachadema au hata pro chadema ndani ya JF aliyemuunga mkono.weka ushahidi wa post au thraed!
 
Hivi, mnao muda hata wa kumjadili huyo jamaa...?
 
Unawaza kuolewa tu kila dakika!

ndo matokeo ya kudharau elimu kwa ccm,lusinde is among MP who arquellesly n profoundly contribute in paramount &sensitive issue in the parliament!!!shortly ni comedian wa bunge unknowngly advertise his ignorant to the public!!!
 
elimu ina umuhim sana katika maisha na maendeleo ya jamii kwa ujumla,mtu yeyote anayedharau elimu anachangia dhambi katika jamii.ignorant &poverty are two compatible sins!!!!mbunge wa mtela ni zao la watu waliokosa elimu kama alivyojishuhudia mwenyewe na michango yake bungeni!!.he's unknowngly advertise his ignorant to public in parliament..!!amegeuka kua comedian na mchekeshaji wa wabunge wenzake bungeni bila kujua.ni vyema akatumia hata uelewa wa kuzaliwa tu kujenga hoja badala ya kua mchekeshaji wa bunge,anawanyima fursa wapiga kura wake katka kuwawakilisha bungeni!!!!tafadhali usiwadhalilishe wapiga kura wako!!!
 
elimu ina umuhim sana katika maisha na maendeleo ya jamii kwa ujumla,mtu yeyote anayedharau elimu anachangia dhambi katika jamii.ignorant &poverty are two compatible sins!!!!mbunge wa mtela wa mtela ni zao la watu waliokosa elimu kama alivyojishuhudia mwenyewe na michango yake bungeni!!.he's unknowngly advertise his ignorant to public in parliament..!!amegeuka kua comedian na mchekeshaji wa wabunge wenzake bungeni bila kujua.ni vyema akatumia hata uelewa wa kuzaliwa tu kujenga hoja badala ya kua mchekeshaji wa bunge,anawanyima fursa wapiga kura wake katka kuwawakilisha bungeni!!!!tafadhali usiwadhalilishe wapiga kura wako!!!

Mimi nitaamini kwamba sasa Watanzania wameelimika endapo watawapiga chini wabunge wote mizigo na vihiyo. Hatuwezi kuwa na wabunge aina ya joti wanaokwenda kufanya komedi na kuchekesha watu bungeni. Tunataka wabunge serious ndani ya bunge na siyo comedians.
 
Back
Top Bottom