johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Spika Tulia amesema Neno " dhulma" lililotumiwa na Waziri Mabula wakati akmpa taarifa mh Kunambi halikuwa sahihi na siyo lugha ya Kibunge hivyo lighter kwenye hansard
Spika Tulia alikuwa akijibu mwongozo ioombwa na mbunge wa Mlimba mh Kunambi aliyedai kitendo cha kuitwa dhulmati na Waziri Mabula kimemvunjia heshima bungeni na jimboni
Mungu ni mwema wakati wote
Tundu Lissu: Wakitumaliza sisi watakulana wao kwa wao
Spika Tulia alikuwa akijibu mwongozo ioombwa na mbunge wa Mlimba mh Kunambi aliyedai kitendo cha kuitwa dhulmati na Waziri Mabula kimemvunjia heshima bungeni na jimboni
Mungu ni mwema wakati wote
Tundu Lissu: Wakitumaliza sisi watakulana wao kwa wao