elimu ina umuhim sana katika maisha na maendeleo ya jamii kwa ujumla,mtu yeyote anayedharau elimu anachangia dhambi katika jamii.ignorant &poverty are two compatible sins!!!!mbunge wa mtela ni zao la watu waliokosa elimu kama alivyojishuhudia mwenyewe na michango yake bungeni!!.he's unknowngly advertise his ignorant to public in parliament..!!amegeuka kua comedian na mchekeshaji wa wabunge wenzake bungeni bila kujua.ni vyema akatumia hata uelewa wa kuzaliwa tu kujenga hoja badala ya kua mchekeshaji wa bunge,anawanyima fursa wapiga kura wake katka kuwawakilisha bungeni!!!!tafadhali usiwadhalilishe wapiga kura wako!!!
kweli kabisa mkuu huyu jamaa mie natamani ningekuwa hata mshauri wake tu maana hajui atendalo yy anavyoona wabunge wenzie wanavyocheka anadhani ameongea point kumbe wao wanamdhihaki jamaa hana kitu kichwani sidhani kama wapiga kura wake watamrudisha bungeni hamna kitu kabisa.