Vipi Mrembo ,naona Meandishi kaugusa mtima wako(ila Kumbuka hii ni thread ya Mwaka 2016..Disemba kipindi kile JPM bado wa moto) !Acha majungu
Vipi Mrembo ,naona Meandishi kaugusa mtima wako(ila Kumbuka hii ni thread ya Mwaka 2016..Disemba kipindi kile JPM bado wa moto) !Acha majungu
Kwaiyo agano la kale ni gazetiLilikua agano gani kwenye biblia hayo mambo yalitendeka? Je unajua tofauti ya agano la kale na agano jipya?
Nmejikuta wakati flan nikitafakari sana matendo ya huyu anayejiita Mchungaji na kugundua ana mapepo na ni mtumishi wa shetani kabisa.
Kitendo cha kusema anamtafuta aliyesema wakristo waoe mke mmoja amhoji tayari anaonesha kuukana ukristo na kujihalalishia uzinzi.
Mungu angetaka adam awe na wake wengi angemtengenezea na mwingine.lakini hakufanya hivyo.kusudio la Mungu lilikuwa mke moja na mume mmoja. Kuhoji uhalali wa neno hilo tayari anaonesha ni mtu aliyekengeuka.
Ndugu huyu anayefahamika kwa majivuno na kiburi kinyume na matendo ya ukristo Yesu aliposema Mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu. Yampasa ajinyenyekeze na kujishusha kama mtoto mdogo.
Lusekelo ambaye ni juz juz tu alikumbwa na kashfa ya ulevi jambo ambalo ni aibu hata kwa mchungaj kusingiziwa. Bado hakuweza kujieleza akaelweka machoni pa watu wa Mungu.
Style yake ya mafundisho imejikita zaidi katika yeye kupokea sadaka na tunaona hata kwnye ibada anavyofurahia kutuzwa pesa. Na hapa ndipo ukristo unapozidi kujidhihilisha kuhusiana na siku za mwisho kutakuwepo na manabii na wa uongo na wachungaj wa aina ya lusekelo.
Haya ni mafundisho ya kishetani kabisa. Tamaa za mwili ndizo zinazoweza mkristo akahoji jambo kama hili.
Yesu anasema mwanaume atamwacha babaye na mamaye naye ataambatana na MKEWE na si WAKEZE. Mathayo 19:3-9
Ukina Mkristo anaanza kutaman yaliyo kwa shetan ujue tayar shetan ameshamkamata. Tuendako usishangae kusikia lusekelo anaruhusu waumini wake kuoa wake zaidi ya mmoja.
Acha ukahaba.Acha majungu
Acha ushogaAcha ukahaba.
Yesu hakuja kutengua TORATI, ...BALI KUIKAMILISHA!Maandiko yanasema "...mke na mume wataungana na kuwa mwili mmoja..."
Haijasema "...wake na mume..."
Utata unakuja utakapojua kua Musa alioa wake wawili na jibu hua linakua "Lile ni agano la kale".
Mchungaji atatenda upuuzi akiulizwa anajibu " Fuata maneno na si matendo" kwenye biblia tunaambiwa matendo ndiyo yatakupeleka unapotaka, hata Baba wa Taifa alisema hiki kitu.
Mzee wa K-VANT na KONYAGIHuyu ni wa kumpuuza tu yeye na Waumini wake, kuendelea kushughulika naye ni kuzidi kumuongezea Sadaka.
Kwahiyo, huko kuja kwa Yesu kuikamilisha Torati, katika kuoa ameikamilishaje?Yesu hakuja kutengua TORATI, ...BALI KUIKAMILISHA!
... HAKUNA SHERIA YA KUOA MKE MMOJA KATIKA BIBLIA!
... hakuliongelea kabisa hilo, ... maana yake aliona POA TU!Kwahiyo, huko kuja kwa Yesu kuikamilisha Torati,katika kuoa ameikamilishaje?
Hiyo ya kuona poa ni mawazo ya Yesu au yako?... hakuliongelea kabisa hilo, ... maana yake aliona POA TU!
... kama Mawazo ya Yesu hayakuona POA asingeliilnyamazia!Hiyo ya kuona poa ni mawazo ya Yesu au yako?
TAYARI USHAISHIWA HOJA... kama Mawazo ya Yesu hayakuona POA asingelinyamazia!
WHY TOO SERIOUS MEIN FUHRER?
Una ushoga pia? Wewe umekamilika kila sehemu. Ndo maana upo hivyo.Acha ushoga