Wana jamvi naomba msaada wenu katika jambo hili;Mimi mwaka 2009 nilifunga ndoa na binti mmoja ambae nilikutana nae kazin na baada ya kama miez kadhaa tuliamua kufunga ndoa kanisani lakin wakati nafunga nae ndoa yeye alikuwa tayar kaacha kaz katika shirika tulilokutana so baada ya kufunga ndoa maisha yaliendelea lakin mie nikikaa mkoan yeye akikaa Dar kutokana na majukumu ya kikazi mie nafanya mkoan yeye Dar kwan alipata kaz nae baada ya kukaa mtaan muda flan.
Mahusiano yaliendelea vizur tu lakin nikaja gundua ya kwamba anachat na mtu ambae tuliwah ishi nae mkoan na nilipoamua kumtafuata akasema binti alimwambia hajaolewa,akakubali kuacha kuchat nae.Vitimbi vikawa vingi sana hatak kuja tena mkoan kuniona mpaka mie niende Dar na kwa bahat mbaya mie nilikosa likizo kwa miaka 3 mfululizo na nikawa kama kuja Dar ni training ya cku mbil mpaka tatu nikawa nakutana na vituko sana mara ninuniwe mara kahama nyumba wakati yy yupo pale pale,stand kuja kunipokea hatak na wakat tuna gar la kutumia nyumban.
Mahusiano yakawa yanaenda kwa mazoea tu mwaka jana kuna mtu akanipigia cm kunipongeza kwa ujauzito wa mke na nilipata shock ukitegemea nina mwaka cjaonana nae kimwili kwan nikienda training fup mara nyingi anasema yupo period,nikazima so kwa kukubali ile hongera nikaanza upelelezi na wakati huo alikuwa anaweza akakaa hata wiki asipokee simu yangu na akipokea da sio dharau hizo kwamba anitak.Kupitia dada ake mmoja akakubali kuniambia ukwel wa jambo hilo kwamba ana mimba na wao wamejua co yangu kumuuliza hawaezi nikawa na uhakika na jambo hilo nikaamua kumwambia tuweke sawa kwan naamin kateleza na tuendelee na maisha kama kawaida akasema hatak na niendelee na maisha yangu kama kawaida japo nilimbembeleza sana
Mwez wa kwanza nikaamua kwenda Dar kwan nilipata ruhusa kama ya siku 9,ndugu zangu wakasema niende nikahakikishe kwa macho yangu na kwa msaaada wa yule dada alinicholea mchoro muda ambao yupo nikaenda nilimkuta na yy ndio alinifungulia mlango kwanza aliponiona kidogo asifungue mlango ila akaamua baada ya dk kama tano akafungua nikawa na aman sana kumwona na ile hali japo yeye alikosa raha kabisa nikajaribu kumsocialise asijione mkosaji nikapiga stori baada ya dk kumi nikaaga kuondoka kwan cku iliyofuata nilikuwa narud mkoan japo nilimwambia ntaenda kesho yake na ndio nikathibitisha ya kwamba ana mimba
Baada ya kurud mkoan akawa amerudisha sana mapenz kama mwanzo simu za mara kwa mara na msg sasa mie nami kuogopa acjepata matatizo wakat wa uzaz nikawa namjal kama mie ndio mwenye mimba na akawa na aman kila ktu akawa ananiambia kuhusu mimba hyo,Juz Mungu kasaidia kajifungua mtoto wa kike nikaambiwa na mpaka sasa kila ktu maambiwa mtoto anasumbua hik mara kile kwa kifup kaona kama mtoto wangu
Picha ya cku ya harus aliitoa sebulen muda sana lakin sasa nimeambiwa kaiweka sebulen tena na anaonesha kukumbuka kuna mtu alimpenda,sasa wana jamvi mie naomba ushauri wenu nafanyaje ktk suala hilo,mimba sio yangu na je kama nikiamua kuwa na mtu mwingine je ntafunga nae ndoa kwan mie ni mkristo?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mahusiano yaliendelea vizur tu lakin nikaja gundua ya kwamba anachat na mtu ambae tuliwah ishi nae mkoan na nilipoamua kumtafuata akasema binti alimwambia hajaolewa,akakubali kuacha kuchat nae.Vitimbi vikawa vingi sana hatak kuja tena mkoan kuniona mpaka mie niende Dar na kwa bahat mbaya mie nilikosa likizo kwa miaka 3 mfululizo na nikawa kama kuja Dar ni training ya cku mbil mpaka tatu nikawa nakutana na vituko sana mara ninuniwe mara kahama nyumba wakati yy yupo pale pale,stand kuja kunipokea hatak na wakat tuna gar la kutumia nyumban.
Mahusiano yakawa yanaenda kwa mazoea tu mwaka jana kuna mtu akanipigia cm kunipongeza kwa ujauzito wa mke na nilipata shock ukitegemea nina mwaka cjaonana nae kimwili kwan nikienda training fup mara nyingi anasema yupo period,nikazima so kwa kukubali ile hongera nikaanza upelelezi na wakati huo alikuwa anaweza akakaa hata wiki asipokee simu yangu na akipokea da sio dharau hizo kwamba anitak.Kupitia dada ake mmoja akakubali kuniambia ukwel wa jambo hilo kwamba ana mimba na wao wamejua co yangu kumuuliza hawaezi nikawa na uhakika na jambo hilo nikaamua kumwambia tuweke sawa kwan naamin kateleza na tuendelee na maisha kama kawaida akasema hatak na niendelee na maisha yangu kama kawaida japo nilimbembeleza sana
Mwez wa kwanza nikaamua kwenda Dar kwan nilipata ruhusa kama ya siku 9,ndugu zangu wakasema niende nikahakikishe kwa macho yangu na kwa msaaada wa yule dada alinicholea mchoro muda ambao yupo nikaenda nilimkuta na yy ndio alinifungulia mlango kwanza aliponiona kidogo asifungue mlango ila akaamua baada ya dk kama tano akafungua nikawa na aman sana kumwona na ile hali japo yeye alikosa raha kabisa nikajaribu kumsocialise asijione mkosaji nikapiga stori baada ya dk kumi nikaaga kuondoka kwan cku iliyofuata nilikuwa narud mkoan japo nilimwambia ntaenda kesho yake na ndio nikathibitisha ya kwamba ana mimba
Baada ya kurud mkoan akawa amerudisha sana mapenz kama mwanzo simu za mara kwa mara na msg sasa mie nami kuogopa acjepata matatizo wakat wa uzaz nikawa namjal kama mie ndio mwenye mimba na akawa na aman kila ktu akawa ananiambia kuhusu mimba hyo,Juz Mungu kasaidia kajifungua mtoto wa kike nikaambiwa na mpaka sasa kila ktu maambiwa mtoto anasumbua hik mara kile kwa kifup kaona kama mtoto wangu
Picha ya cku ya harus aliitoa sebulen muda sana lakin sasa nimeambiwa kaiweka sebulen tena na anaonesha kukumbuka kuna mtu alimpenda,sasa wana jamvi mie naomba ushauri wenu nafanyaje ktk suala hilo,mimba sio yangu na je kama nikiamua kuwa na mtu mwingine je ntafunga nae ndoa kwan mie ni mkristo?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums