Majini/Mapepo ni roho Chafu/Ovu ni Malaika wa Shetani asilimia 100. Fahamu aina na kazi zao

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,262
Kuna dhana ambayo imekuwa ikisambazwa kwa kipindi flan sasa kuhusiana na Majini/Mapepo na pengine Neno Vampires. ukiangalia kwenye film na watu mbalimbali wamekuwa wakishangaza kusema kuna majini wazuri,kuna vampires wazuri au kuna mapepo wazuri. Majini/Mapepo ni nini?

Mapepo ni malaika walio anguka au walio asi kule mbinguni na yule shetani Imeandikwa Ufunuo 12:9 "Yule joka akatupwa, yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye ibilisi na shetani audanganyaye ulimwengu wote akatupwa hata nchi na malaika zake wakatupwa pamoja naye. hawa haina shaka kwa asilimia 100 ni watumishi wa shetani kama ambavyo Mungu anawatumishi wake ambao tunawaita Malaika. Majini ni Kinyume cha Malaika na ni wazi kuwa hawawezi kufungamana au kushikamana hata siku moja .

Majini yamekuwa yakifanya kazi mbali mbali kulingana na jinsi ambavyo yamepewa job descriptions zao. wanahusika na mambo mengi mengi tunayo yaona katika maisha ya kila siku. Kuna ambao wamewahi kuyaona yakiwa katika mwili huu wa Binadamu na pia hata wa wanyama kwa sababu yana uwezo wa kuchukua sura na maumbile mbalimbali. kuna hata ambao wameoa au kuolewa na majini ukiacha wale wanaofanya nayo mapenzi usiku yakiwa katika sura za watu wanaowafahamu au wanawake warembo n.k

kuna ambao wanasaidiwa na haya majini kutambua(pepo wa utambuzi, utabiri n.k) kuna majini watu hupewa ya bahati au hata uponyaji wa kimazingara kwa masharti fulani. Shetani ana uwezo mkubwa kabisa wa kufanya miujiza. Hivyo Miujiza si uthibitisho wauwepo wa Mungu sehemu flan maana Shetani Ni muongo na mhadaaji hivyo huweza kuwahadaa binadamu kwa namna nyingi.

kuna watu ambao wamekuwa wakiabudu na majini, wakisali na majini,wakishirikiana na majini na pengine kuya categorize kuwa kuna mabaya na mzuri. Kwa Mfuasi wa Mungu wa ukweli hakuna jini zuri hata moja. Sema shetani anayatumia kuwahadaa binadamu kwa lengo lake lile lile la kuwaingiza Jehanamu.

Yohana 8:44 "Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu ... na anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo. Shetani ni muongo na katika hili hakuna UONGO MTAKATIFU. uongo ni uongo. HAKUNA UONGO WA NIA NJEMA uongo ni uongo. Baba wa Uongo ni Shetani na waongo wote wanatenda kazi ya baba yao. Leo hii hata mchungaji akitumia uongo Kumbadilisha mtu kuwa Mkristo huyu Mchungaji anatenda dhambi.

Nisiwachoshe kwa maneno mengi . haya ni aina ya majini na kazi yanayofanya hapa duniani kwenye uwepo wa binadamu. haya yameandikwa na mwanazuoni mmoja akielezea kwa umakini Kazi za Majini.inasemekana yapo Majina nyingi sana lakini hapa yamezungumziwa 69 tu.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari – hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu – hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari – Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani – jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube – jini hili linasababisha utasa
6) Subiani – jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil – jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat – jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri – jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura – Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna – linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata – linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur – jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha – jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan – jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul – jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari – Jini la fujo
18) Araba – Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh – jini hili linatumwa hasa kwa wanaomfuta Yahweh kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi – jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu – jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni – jini wa hasira
23) Kaimu – jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni – jini la utajiri wa kichawi – ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki – jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju – linasimamia lugha
27) Janatusi – linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa wanaomfuta Yahweh wasifanye sala
28) Riyaron – jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun – Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati – jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu – jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji – jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji – jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk – linasababisha maafa
35) Munkara – jini la makaburini
36) Takadhuru – jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi – jini la linawafanya watu flani wawe na roho mbaya ,ukatili na kufanya fujo.
38) Balishebe – jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri – jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran – linasimamia uwongo
41) Lairlihabi – linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani – jini la mateso na fujo
43) Betrah – jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari – linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni – linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih – jini la kupoteza fahamu
47) Tarik – huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha – mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir – linapoteza watu kimiujiza
50) Malik – jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu – jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh – jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken – jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam – jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mtu anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala – linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili – jini la uvivu
57) Al-khah – linakula damu iliyoganda
58 Abasaa – jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi – jini la homa za mara kwa mara
60) Muba – jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram – jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran – jini la uongo na uzushi
63) Abadi – Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi – jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali – jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran – jini la utasa na maradhi ya akina mama
 
Kuna dhana ambayo imekuwa ikisambazwa kwa kipindi flan sasa kuhusiana na Majini/Mapepo na pengine Neno Vampires. ukiangalia kwenye film na watu mbalimbali wamekuwa wakishangaza kusema kuna majini wazuri,kuna vampires wazuri au kuna mapepo wazuri. Majini/Mapepo ni nini?

Mapepo ni malaika walio anguka au walio asi kule mbinguni na yule shetani Imeandikwa Ufunuo 12:9 "Yule joka akatupwa, yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye ibilisi na shetani audanganyaye ulimwengu wote akatupwa hata nchi na malaika zake wakatupwa pamoja naye. hawa haina shaka kwa asilimia 100 ni watumishi wa shetani kama ambavyo Mungu anawatumishi wake ambao tunawaita Malaika. Majini ni Kinyume cha Malaika na ni wazi kuwa hawawezi kufungamana au kushikamana hata siku moja .

Majini yamekuwa yakifanya kazi mbali mbali kulingana na jinsi ambavyo yamepewa job descriptions zao. wanahusika na mambo mengi mengi tunayo yaona katika maisha ya kila siku. Kuna ambao wamewahi kuyaona yakiwa katika mwili huu wa Binadamu na pia hata wa wanyama kwa sababu yana uwezo wa kuchukua sura na maumbile mbalimbali. kuna hata ambao wameoa au kuolewa na majini ukiacha wale wanaofanya nayo mapenzi usiku yakiwa katika sura za watu wanaowafahamu au wanawake warembo n.k

kuna ambao wanasaidiwa na haya majini kutambua(pepo wa utambuzi, utabiri n.k) kuna majini watu hupewa ya bahati au hata uponyaji wa kimazingara kwa masharti fulani. Shetani ana uwezo mkubwa kabisa wa kufanya miujiza. Hivyo Miujiza si uthibitisho wauwepo wa Mungu sehemu flan maana Shetani Ni muongo na mhadaaji hivyo huweza kuwahadaa binadamu kwa namna nyingi.

kuna watu ambao wamekuwa wakiabudu na majini, wakisali na majini,wakishirikiana na majini na pengine kuya categorize kuwa kuna mabaya na mzuri. Kwa Mfuasi wa Mungu wa ukweli hakuna jini zuri hata moja. Sema shetani anayatumia kuwahadaa binadamu kwa lengo lake lile lile la kuwaingiza Jehanamu.

Yohana 8:44 "Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu ... na anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo. Shetani ni muongo na katika hili hakuna UONGO MTAKATIFU. uongo ni uongo. HAKUNA UONGO WA NIA NJEMA uongo ni uongo. Baba wa Uongo ni Shetani na waongo wote wanatenda kazi ya baba yao. Leo hii hata mchungaji akitumia uongo Kumbadilisha mtu kuwa Mkristo huyu Mchungaji anatenda dhambi.

Nisiwachoshe kwa maneno mengi . haya ni aina ya majini na kazi yanayofanya hapa duniani kwenye uwepo wa binadamu. haya yameandikwa na mwanazuoni mmoja akielezea kwa umakini Kazi za Majini.inasemekana yapo Majina nyingi sana lakini hapa yamezungumziwa 69 tu.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari – hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu – hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari – Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani – jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube – jini hili linasababisha utasa
6) Subiani – jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil – jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat – jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri – jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura – Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna – linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata – linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur – jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha – jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan – jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul – jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari – Jini la fujo
18) Araba – Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh – jini hili linatumwa hasa kwa wanaomfuta Yahweh kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi – jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu – jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni – jini wa hasira
23) Kaimu – jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni – jini la utajiri wa kichawi – ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki – jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju – linasimamia lugha
27) Janatusi – linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa wanaomfuta Yahweh wasifanye sala
28) Riyaron – jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun – Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati – jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu – jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji – jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji – jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk – linasababisha maafa
35) Munkara – jini la makaburini
36) Takadhuru – jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi – jini la linawafanya watu flani wawe na roho mbaya ,ukatili na kufanya fujo.
38) Balishebe – jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri – jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran – linasimamia uwongo
41) Lairlihabi – linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani – jini la mateso na fujo
43) Betrah – jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari – linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni – linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih – jini la kupoteza fahamu
47) Tarik – huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha – mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir – linapoteza watu kimiujiza
50) Malik – jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu – jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh – jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken – jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam – jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mtu anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala – linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili – jini la uvivu
57) Al-khah – linakula damu iliyoganda
58 Abasaa – jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi – jini la homa za mara kwa mara
60) Muba – jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram – jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran – jini la uongo na uzushi
63) Abadi – Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi – jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali – jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran – jini la utasa na maradhi ya akina mama
Bado sana huna elimu ya majini,na kuna tofauti kubwa kati ya majini,malaika na shetani.kwa kukusaidia kidogo tu ni kwamba shetani sio kiumbe ,shetani ni sifa.
 
Sijasoma hayo majina ila usisahau jini makata hili ni jini la mauti linatesa sa watu.
 
Kuna dhana ambayo imekuwa ikisambazwa kwa kipindi flan sasa kuhusiana na Majini/Mapepo na pengine Neno Vampires. ukiangalia kwenye film na watu mbalimbali wamekuwa wakishangaza kusema kuna majini wazuri,kuna vampires wazuri au kuna mapepo wazuri. Majini/Mapepo ni nini?

Mapepo ni malaika walio anguka au walio asi kule mbinguni na yule shetani Imeandikwa Ufunuo 12:9 "Yule joka akatupwa, yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye ibilisi na shetani audanganyaye ulimwengu wote akatupwa hata nchi na malaika zake wakatupwa pamoja naye. hawa haina shaka kwa asilimia 100 ni watumishi wa shetani kama ambavyo Mungu anawatumishi wake ambao tunawaita Malaika. Majini ni Kinyume cha Malaika na ni wazi kuwa hawawezi kufungamana au kushikamana hata siku moja .

Majini yamekuwa yakifanya kazi mbali mbali kulingana na jinsi ambavyo yamepewa job descriptions zao. wanahusika na mambo mengi mengi tunayo yaona katika maisha ya kila siku. Kuna ambao wamewahi kuyaona yakiwa katika mwili huu wa Binadamu na pia hata wa wanyama kwa sababu yana uwezo wa kuchukua sura na maumbile mbalimbali. kuna hata ambao wameoa au kuolewa na majini ukiacha wale wanaofanya nayo mapenzi usiku yakiwa katika sura za watu wanaowafahamu au wanawake warembo n.k

kuna ambao wanasaidiwa na haya majini kutambua(pepo wa utambuzi, utabiri n.k) kuna majini watu hupewa ya bahati au hata uponyaji wa kimazingara kwa masharti fulani. Shetani ana uwezo mkubwa kabisa wa kufanya miujiza. Hivyo Miujiza si uthibitisho wauwepo wa Mungu sehemu flan maana Shetani Ni muongo na mhadaaji hivyo huweza kuwahadaa binadamu kwa namna nyingi.

kuna watu ambao wamekuwa wakiabudu na majini, wakisali na majini,wakishirikiana na majini na pengine kuya categorize kuwa kuna mabaya na mzuri. Kwa Mfuasi wa Mungu wa ukweli hakuna jini zuri hata moja. Sema shetani anayatumia kuwahadaa binadamu kwa lengo lake lile lile la kuwaingiza Jehanamu.

Yohana 8:44 "Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu ... na anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo. Shetani ni muongo na katika hili hakuna UONGO MTAKATIFU. uongo ni uongo. HAKUNA UONGO WA NIA NJEMA uongo ni uongo. Baba wa Uongo ni Shetani na waongo wote wanatenda kazi ya baba yao. Leo hii hata mchungaji akitumia uongo Kumbadilisha mtu kuwa Mkristo huyu Mchungaji anatenda dhambi.

Nisiwachoshe kwa maneno mengi . haya ni aina ya majini na kazi yanayofanya hapa duniani kwenye uwepo wa binadamu. haya yameandikwa na mwanazuoni mmoja akielezea kwa umakini Kazi za Majini.inasemekana yapo Majina nyingi sana lakini hapa yamezungumziwa 69 tu.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari – hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu – hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari – Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani – jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube – jini hili linasababisha utasa
6) Subiani – jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil – jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat – jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri – jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura – Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna – linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata – linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur – jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha – jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan – jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul – jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari – Jini la fujo
18) Araba – Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh – jini hili linatumwa hasa kwa wanaomfuta Yahweh kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi – jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu – jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni – jini wa hasira
23) Kaimu – jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni – jini la utajiri wa kichawi – ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki – jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju – linasimamia lugha
27) Janatusi – linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa wanaomfuta Yahweh wasifanye sala
28) Riyaron – jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun – Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati – jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu – jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji – jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji – jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk – linasababisha maafa
35) Munkara – jini la makaburini
36) Takadhuru – jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi – jini la linawafanya watu flani wawe na roho mbaya ,ukatili na kufanya fujo.
38) Balishebe – jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri – jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran – linasimamia uwongo
41) Lairlihabi – linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani – jini la mateso na fujo
43) Betrah – jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari – linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni – linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih – jini la kupoteza fahamu
47) Tarik – huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha – mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir – linapoteza watu kimiujiza
50) Malik – jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu – jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh – jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken – jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam – jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mtu anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala – linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili – jini la uvivu
57) Al-khah – linakula damu iliyoganda
58 Abasaa – jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi – jini la homa za mara kwa mara
60) Muba – jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram – jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran – jini la uongo na uzushi
63) Abadi – Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi – jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali – jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran – jini la utasa na maradhi ya akina mama
Nipe namba 45 kama unalo
 
Kuna dhana ambayo imekuwa ikisambazwa kwa kipindi flan sasa kuhusiana na Majini/Mapepo na pengine Neno Vampires. ukiangalia kwenye film na watu mbalimbali wamekuwa wakishangaza kusema kuna majini wazuri,kuna vampires wazuri au kuna mapepo wazuri. Majini/Mapepo ni nini?

Mapepo ni malaika walio anguka au walio asi kule mbinguni na yule shetani Imeandikwa Ufunuo 12:9 "Yule joka akatupwa, yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye ibilisi na shetani audanganyaye ulimwengu wote akatupwa hata nchi na malaika zake wakatupwa pamoja naye. hawa haina shaka kwa asilimia 100 ni watumishi wa shetani kama ambavyo Mungu anawatumishi wake ambao tunawaita Malaika. Majini ni Kinyume cha Malaika na ni wazi kuwa hawawezi kufungamana au kushikamana hata siku moja .

Majini yamekuwa yakifanya kazi mbali mbali kulingana na jinsi ambavyo yamepewa job descriptions zao. wanahusika na mambo mengi mengi tunayo yaona katika maisha ya kila siku. Kuna ambao wamewahi kuyaona yakiwa katika mwili huu wa Binadamu na pia hata wa wanyama kwa sababu yana uwezo wa kuchukua sura na maumbile mbalimbali. kuna hata ambao wameoa au kuolewa na majini ukiacha wale wanaofanya nayo mapenzi usiku yakiwa katika sura za watu wanaowafahamu au wanawake warembo n.k

kuna ambao wanasaidiwa na haya majini kutambua(pepo wa utambuzi, utabiri n.k) kuna majini watu hupewa ya bahati au hata uponyaji wa kimazingara kwa masharti fulani. Shetani ana uwezo mkubwa kabisa wa kufanya miujiza. Hivyo Miujiza si uthibitisho wauwepo wa Mungu sehemu flan maana Shetani Ni muongo na mhadaaji hivyo huweza kuwahadaa binadamu kwa namna nyingi.

kuna watu ambao wamekuwa wakiabudu na majini, wakisali na majini,wakishirikiana na majini na pengine kuya categorize kuwa kuna mabaya na mzuri. Kwa Mfuasi wa Mungu wa ukweli hakuna jini zuri hata moja. Sema shetani anayatumia kuwahadaa binadamu kwa lengo lake lile lile la kuwaingiza Jehanamu.

Yohana 8:44 "Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu ... na anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo. Shetani ni muongo na katika hili hakuna UONGO MTAKATIFU. uongo ni uongo. HAKUNA UONGO WA NIA NJEMA uongo ni uongo. Baba wa Uongo ni Shetani na waongo wote wanatenda kazi ya baba yao. Leo hii hata mchungaji akitumia uongo Kumbadilisha mtu kuwa Mkristo huyu Mchungaji anatenda dhambi.

Nisiwachoshe kwa maneno mengi . haya ni aina ya majini na kazi yanayofanya hapa duniani kwenye uwepo wa binadamu. haya yameandikwa na mwanazuoni mmoja akielezea kwa umakini Kazi za Majini.inasemekana yapo Majina nyingi sana lakini hapa yamezungumziwa 69 tu.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari – hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu – hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari – Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani – jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube – jini hili linasababisha utasa
6) Subiani – jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil – jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat – jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri – jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura – Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna – linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata – linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur – jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha – jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan – jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul – jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari – Jini la fujo
18) Araba – Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh – jini hili linatumwa hasa kwa wanaomfuta Yahweh kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi – jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu – jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni – jini wa hasira
23) Kaimu – jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni – jini la utajiri wa kichawi – ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki – jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju – linasimamia lugha
27) Janatusi – linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa wanaomfuta Yahweh wasifanye sala
28) Riyaron – jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun – Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati – jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu – jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji – jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji – jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk – linasababisha maafa
35) Munkara – jini la makaburini
36) Takadhuru – jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi – jini la linawafanya watu flani wawe na roho mbaya ,ukatili na kufanya fujo.
38) Balishebe – jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri – jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran – linasimamia uwongo
41) Lairlihabi – linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani – jini la mateso na fujo
43) Betrah – jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari – linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni – linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih – jini la kupoteza fahamu
47) Tarik – huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha – mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir – linapoteza watu kimiujiza
50) Malik – jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu – jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh – jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken – jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam – jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mtu anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala – linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili – jini la uvivu
57) Al-khah – linakula damu iliyoganda
58 Abasaa – jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi – jini la homa za mara kwa mara
60) Muba – jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram – jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran – jini la uongo na uzushi
63) Abadi – Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi – jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali – jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach – jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran – jini la utasa na maradhi ya akina mama


Mkuu umefanya utafiti wa Kina kuhusiana na suala la majini?Juzi Member Mshana kabandika post juu ya suala kama hili na nimelitolea ufafanuzi.Nimesema kinachoitwa Majini ni uzushi tu na ni kwa Kadri ya imani ya Kiislamu. Wakristu wamejikuta wanakopa maneno haya na imani juu ya uchawi na majini bila kujijua.Kuingiliana kwa Waislamu na Wakristu kwa upande mmoja na wapagani kwa upande mwingine ndio kumezidisha imani juu ya mambo haya.Kilichopo ni mashetani(mapepo).Kwa hiyo tukizungumza mapepo tunamaanisha shetani na "jamaa" zake walioasi.Hata hivyo Shetani na Washirika wake walikwisha shindwa na ujio wa Yesu Kristu.

Tuache kuendelea kutisha tisha watu na habari za majini na uchawi.Hii inadumaza maendeleo ya mwanadamu.Ulaya na Marekani waliamua kuendesha chinja chinja (Inquisition) juu ya mambo haya na ndio kisa wamefika hapo walipo Kitekinolojia na Kisayansi.
 
Mkuu umefanya utafiti wa Kina kuhusiana na suala la majini?Juzi Member Mshana kabandika post juu ya suala kama hili na nimelitolea ufafanuzi.Nimesema kinachoitwa Majini ni uzushi tu na ni kwa Kadri ya imani ya Kiislamu. Wakristu wamejikuta wanakopa maneno haya na imani juu ya uchawi na majini bila kujijua.Kuingiliana kwa Waislamu na Wakristu kwa upande mmoja na wapagani kwa upande mwingine ndio kumezidisha imani juu ya mambo haya.Kilichopo ni mashetani(mapepo).Kwa hiyo tukizungumza mapepo tunamaanisha shetani na "jamaa" zake walioasi.Hata hivyo Shetani na Washirika wake walikwisha shindwa na ujio wa Yesu Kristu.

Tuache kuendelea kutisha tisha watu na habari za majini na uchawi.Hii inadumaza maendeleo ya mwanadamu.Ulaya na Marekani waliamua kuendesha chinja chinja (Inquisition) juu ya mambo haya na ndio kisa wamefika hapo walipo Kitekinolojia na Kisayansi.
 
Mkuu umefanya utafiti wa Kina kuhusiana na suala la majini?Juzi Member Mshana kabandika post juu ya suala kama hili na nimelitolea ufafanuzi.Nimesema kinachoitwa Majini ni uzushi tu na ni kwa Kadri ya imani ya Kiislamu. Wakristu wamejikuta wanakopa maneno haya na imani juu ya uchawi na majini bila kujijua.Kuingiliana kwa Waislamu na Wakristu kwa upande mmoja na wapagani kwa upande mwingine ndio kumezidisha imani juu ya mambo haya.Kilichopo ni mashetani(mapepo).Kwa hiyo tukizungumza mapepo tunamaanisha shetani na "jamaa" zake walioasi.Hata hivyo Shetani na Washirika wake walikwisha shindwa na ujio wa Yesu Kristu.

Tuache kuendelea kutisha tisha watu na habari za majini na uchawi.Hii inadumaza maendeleo ya mwanadamu.Ulaya na Marekani waliamua kuendesha chinja chinja (Inquisition) juu ya mambo haya na ndio kisa wamefika hapo walipo Kitekinolojia na Kisayansi.

Mapepo ni nini?
 
The Five Types of Jinn

The Five Types of Jinn and Their Threat to Your Digital Security

Islamic belief divides sentient beings into three categories. In order of creation, they are: the angels (malayka), the hidden ones (jinn), and humankind (nas or banu adam). Angels are made out of light, jinn out of fire, men out of earth (sometimes translated as mud or clay). Angels are considered neither male nor female and have no free will. Jinn, like humans, are gendered, and have free will. (This is why, in Islamic thought, Satan is a jinn, not an angel; it would be impossible for an angel to disobey the will of God.) Jinn may be benevolent, evil, or neutral, but are generally regarded as less trustworthy and more prone to trickery than people, even if they are benign. In addition to the types of jinn mentioned here, there are many lesser varieties of jinn that appear in local legends that vary from place to place. For example, in Egypt, there are thought to be female jinn who inhabit the canals and tributaries of the Nile and lure men to their deaths, much like sirens, but they don’t appear elsewhere in the Arab world.

Types of Jinn







MARID (pronounced MAA–rid)
Large and imposing, the marid are considered the most powerful tribe of jinn. They are the classic genies of folklore, often portrayed as barrelchested men with booming voices.
Originally sea-spirits, they are often associated with water, and thought to take sanctuary in the open ocean. While marid are very powerful, they are not technically minded and therefore unlikely to infect your hard drive. However, there is at least one known case of a marid being imprisoned in a flash drive and doing quite a lot of damage to the operating system, attempting to free itself. Please be aware when opening any unfamiliar attachments and if any of your computer’s peripherals exhibit a telltale blue-gray cast, please disconnect from your machine and take them to a qualified technician.











EFFRIT
(pronounced eff–FREET)
Intelligent and cunning, the effrit are thought to live in complex societies similar to those of humans. They are said to prefer caves and under ground dwellings. Though ostensibly demonic, they are portrayed as changeable in nature, and capable of becoming pious and good. In the Quran, King Solomon is said to have had power over a tribe of effrit, who performed various tasks for him.

Effrit are the greatest risk for phishing scams and online privacy violations, as they are natural schemers and also understand human personality and social interaction the best. It is thought that quite a few effrit amuse themselves sending Facebook messages to attractive potential mates using the profiles of call center employees and programmers in India, the Middle East, and the Philippines, who are bewildered by the response. More seriously, however, some effrit have the capability of writing code themselves, and it is thought that the Conficker worm, which infected some fifty million computers worldwide, may have been written by a group combining effrit and human members. Effrit are not to be taken lightly, but they can only be guarded against by the standard information safety protocols used with human threats—be wary of unverified interlocutors and executable content, and if your system slows or behaves oddly, conduct a thorough scan or contact your IT professional.




GHOUL
(Arabic pronunciation uses a guttural gg sound somewhere
between an English G and a French R)

This tribe of jinn has traveled north and west to become a common English- language term for “undead monster.” This is pretty close to its original Arabic connotation; ghouls are thought to be zombie-like jinn who haunt graveyards and prey on human flesh. They are strictly demonic and incapable of goodness. Often portrayed as nocturnal. Given their limited intelligence, ghouls are low risk in the information technology world—but you really don’t want to run into one in a dark alley.














SILA
Talented shape-shifters who are more tolerant of human society than other tribes of jinn, sila are most often portrayed as female. Thought to be extremely intelligent, sila are nonetheless the most rarely seen of all the types of jinn, and appear only sporadically in folklore. There is speculation that the term sila might be related to seelie, a Middle English word for “a good faerie.” (This would make sense, as sila does not appear to correspond to an Arabic root pattern.) Sila are extremely rare, both on- and off-line, and while they are intelligent and comfortable crossing back and forth between realms seen and unseen/human and jinn, by their nature they do not usually set out to harm or trick humans. Sila are, however, fond of meddling in an attempt to help. That Livejournal community member who intervened when you got overinvolved with that troll in the George R.R. Martin community?

Possibly a sila
VETALA

The original vampires, vetala are semi-malevolent spirits from ancient Indian folklore. They can possess human corpses and prevent them from decaying, and in so doing trick human beings into believing the vetala is an ordinary person. However, vetala can also change shape at will. They are thought to be natural psychics, able to foretell the future and gain insight into the past, as well as read the thoughts of others. The most famous vetala appears in “The Vampire and King Vikram,” a set of stories from the Baital Pachisi. Vetala are quite rare, and while they are certainly intelligent enough to threaten your computer, their superior mental and psychic abilities make technology somewhat irrelevant to their needs. To the extent you are likely to encounter a vetala online, it is likely posing brain-twisting rhetorical questions that keep you on a messageboard well past your bedtime.

Always remember that the unseen can take on disproportionate power —which goes for genies and online demagogues in equal measure. If your blood pressure rises, step away from the computer and make a cup of tea. Vetala are also extremely fond of Words With Friends—they are excellent players and lots of fun to engage with, even if their superior skill may prove frustrating.



Information technology specialists have been working for some time to identify and profile the unique online habits of jinn, in order to better protect human users. However, after the disastrous outcome of the Tin Sari program, there is a general consensus that the likelihood of abuse of this program to target benevolent jinn is too great a risk. Until a better solution presents itself, surf carefully, and if you believe your computer has been attacked by jinn, contact your IT professional.

To draw your own genie and enter our contest, visit the Contest page!
 
Mkuu umefanya utafiti wa Kina kuhusiana na suala la majini?Juzi Member Mshana kabandika post juu ya suala kama hili na nimelitolea ufafanuzi.Nimesema kinachoitwa Majini ni uzushi tu na ni kwa Kadri ya imani ya Kiislamu. Wakristu wamejikuta wanakopa maneno haya na imani juu ya uchawi na majini bila kujijua.Kuingiliana kwa Waislamu na Wakristu kwa upande mmoja na wapagani kwa upande mwingine ndio kumezidisha imani juu ya mambo haya.Kilichopo ni mashetani(mapepo).Kwa hiyo tukizungumza mapepo tunamaanisha shetani na "jamaa" zake walioasi.Hata hivyo Shetani na Washirika wake walikwisha shindwa na ujio wa Yesu Kristu.

Tuache kuendelea kutisha tisha watu na habari za majini na uchawi.Hii inadumaza maendeleo ya mwanadamu.Ulaya na Marekani waliamua kuendesha chinja chinja (Inquisition) juu ya mambo haya na ndio kisa wamefika hapo walipo Kitekinolojia na Kisayansi.


Tatizo lako kubwa unachaganya Majini na Shetani. Shetani ni sifa si kiumbe, kiumbe ni Jinni aka Mapepo na binaadam.

Yesu mwenyewe alikumbwa na jinni siku 40, umesahau?
 
Back
Top Bottom