Tunamuombea kwa Mungu muweza wa yote amponye haraka kupitia kwa madaktari au hata kwa miujiza yake.Let our comdrade know we value,love and we psychologically share maumivu anayoyapata.
Binafsi nilishangaa sana kukukosa kipindi hiki na najua energy yako would have been more than flavor to this election season, you are unique!!
Back to the condition yako, maumivu yake hayasemeki ,a lakini si vibaya kuomba mungu na pia kujali masharti ya daktari!! pia nadhani your condition is reversible kwahiyo omba fuata masharti
Nimesikia operesheni, je is the date and appointment set? uko ok kwenye financing ya hiyo op? au kuna namna nyingine waweza hitaji msaada??
Nakuombea upone, lakini cha maana zaidi naombea successful operation na smooth and brief process towards operation yako
Huyu Mpendwa yuko Arusha kwa vile simu yake iko hapo ubaoni wenzetu mlioko Arusha mnaweza kwenda hapo Hosp alipo sasa na kutufikishia salam Zetu..Wapi Binamu an' my shemeji PakaJimmy also our beutiful one Preta?
Lunyungu ni mmoja wa wapiganaji wa mwanzo kabisa kwenye forum hii. Yaani alikuwepo tokea day one. Nakumbuka sana michango yake makini. Nasikitika kumkosa kwenye kipindi hiki. Ugua pole mzee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.