QALLI MIZOH
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 2,075
- 699
Radio Tumaini? Unao uhakika Mkuu!
Labda alikuwa akitaka kusema radio Uhuru (ccm)
Radio Tumaini? Unao uhakika Mkuu!
Kitendo cha kikwete kutuletea mgombea wa kwenye Briefcase hakikubaliki.
wakati haya yakiendelea huko lumumba ikulu kununiana ndio usiseme....makamu wa rais na waziri mkuu wanamsubiri kikwete arudi wamuulize ni nini kuwakosea adabu vile ...kuwanyima hata tano bora mmoja wao ..ina maana hana imani hata kidogo na wasaidizi wake ...kuna wanaowasukuma wajiuzulu especially wana maskani znz ...
Na mnafiki aliyewasha huu moto huyooo kaenda kueka mambo yake sawa uswiss ...tuna bahati tuna amani nchi nyingine ccm wangemuambia abaki huko huko kama nkuruzinza
Si hizi?Story za chini ya mwembe kazi ya Dodoma imeisha na Tingatinga liko mzigoni mtoa uzi inaonekana na wewe ni miongoni mwao kama vipi tupia picha zao kama hilo haliwezekani waambie watoke CCM maana hawalazimishwi kubakia huko!
We binti wa Tupatupa una akili sana wewe, hebu pokea like yako hapo, sim yangu haina kitufe cha like
Wewe wa Ufipa pilipili za Lumumba za, uwashia nini?
CCM siyo CHADEMA , tangu 2010 mlijua mgombea wenu ni SLAA, chama chenye demokrasia hakiangalii nani yuko wapi.JK bana. Sometimes he is funny! Hivi kweli wasaidizi wake wakuu ni wa hovyo kuliko Januari na Amina?
Huna sababu ya mupiga chafya, umejitakia mwenyewe.Mmezikaanga tupo Barabarani tunaambulia CHAFYA.:thinking::thinking::thinking:
CCM wanamsubiri mzinzi wenu wamburuze tena kama 2010, ajiandae tu kususia sherehe za kumwapisha Pombe.Vuta nkuvute wauweeeee
nikuvute-vutavuta-nkuvute
bintiyo nilikuwa nakusubiri kwa hamu kubwa utupe ukoko uliobaki kule dodomya.niliona unafiki toka dodomya watu wakipiga makofi mengiiiiiiiiiiiiii lakini nikajiemea kamwe usiusemee moyo wa mtu.
Hakika mwenyekigoda hakutumia busara wala hekima.ningekuwa mimi kwenye viatu vyake ningefanya haya:
1.kwenye kamati ya maadili ningewaomba wagombea wote waliojipigia debe mapema wenyewe wajiondoe ili chama kisipate mushkeli kwenye uchaguzi mkuu kwa kuambiwa kwamba ccm ilianza kampeni mapema.
2.ningejiondoa kwenye uenyekiti nikamwachia mangula kiti kwa kisingizio kwamba ....sitakuwa huru kwenye kuamua wathungu wangesema 'interest of conflicts'
3.ningeacha waliobaki wajieleze kwenye kamati ya maadili na kila mmoja ajibu kulingana na interview atakayokuwa amepewa na jopo la kamati ya maadili
4.ningesubiri kwenye mkutano mkuu yale majina yakiwa yameshachambuliwa.
Kutoka hapo ningekuwa nimenawa mikono kama alivyofanya ponsio pilato,makundi yangekuwepo,lakini yangeweza kuelewa kwa uwazi kabisa bila kuleta chuki wala mvurugano kwenye chama, nina uhakiak ningetoka kifua mbele kwa uamuzi huu.
Simfagilii lohassa ila kilichofanyika ndiyo siyo sahihi.............
Naomaba ya tafakari haya kisha unijibu kama ningekuwa mshindi au?na ndiyo maana nasema 'tupewe nafasi tu, tusiwezeshwe kwani tunaweza bila kuwezeshwa'.