VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,006
- Thread starter
- #101
Mmeniamini? Songombingo kila kona!
Mzee Tupatupa
Mzee Tupatupa
Mmeniamini? Songombingo kila kona!
Mzee Tupatupa
Lowassa akamwambia jk ...." Sawa umenikata Mimi kwa sababu unasema fisadi ...SASA Hadi Makongoro Naye unamkata ..NA Hana kashfa ....."
WAZIRI MKUU NA MAKAMU wa Rais ..kiprotocal huwa wanaingia 5 bora ..NA Kama hawatakiwi kugombea huwa wanaambiwa mapema ..ILI kutikuwadhalilisha ....
Vivyo Hivyo waliopata KUWA mawaziri wakuu Kama hawatakiwi hutumiwa kabisa watu NA mapema wasichukue fomu ILI presidency usidhalilishwe