mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,059
- 132,506
Hehehehe tu waone sasa kama wataweza kuishi kihalaliMasikini mafiosifisiem...
Hehehehe tu waone sasa kama wataweza kuishi kihalaliMasikini mafiosifisiem...
Magufuli vunja hicho chama...kimelaaniwa na tanzania chini ya ccm haiwezi kubarikiwa...
Muda si mrefu "Ufipa" itageuka "safe haven" kwa mafisadi...
Masalia wa waajiliwa wote wa Vibaka Ltd watachukua uhamisho rasmi. Cc msalani Mmawia Bavaria MR PRESIDENT MUSSA ALLAN nifah mshana jr
Mnaona ukawa mnaweweseka. Hapakazi tuNaombea mnyukano wa nguvu ili wasambaratike
Wewe msaliti unasemaje?Hakuna mwenye ubavu wa kutumbua majipu,mbwembwe tu.
Nasubiri jipu kuu litumbuliwe kwanza.
Hujui politics wewe...Wapinzania hawawezi kucheka kwasababu hii process yote kwa ujumla, inaongezea umaarufu CCM...sasahivi imani inaongezeka...hii sio taarifa nzuri kwa chadema & co
Sio kwamba namba inasomwa tu!!! La hasha bali namba inasomwa na kuandikwa na wavivu, walarushwa wazee wa short cut na wazee wa chajuu (10%)
Mi naamini ndoa ni kati ya raisNdoa ndoano?
Mbavu zangu? Yaani Magufuli asipokuwa makini atavunja ndoa ya Chama chake na Sirikali na mwisho wa siku sijui atakuwa mgeni wa Nani?
Ndoa wanajuana waliooana na thamani yake! Wale wakuja na kuingilia ndoa za watu ni kuhatarisha Ndoa za watu na watu watapigana kufa na kupona kulinda ndoa zao.
salute kwako mzee edward lowassa kwa kusababisha CCM wamteue magufuli kuwa mgombea urais.vinginevyo tusinge yashuhudia/sikia haya.mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Edward lowassa.
Wacha kujidanganya mkuu..chama kinaimarika...activities za Magufuli zinatetemesha!imani inaongezeka kwa wananchi ila ndio safar ya kifo cha ccm mana kutakuwa na mgogoro mkubwa nani ya chama kuwahi kutokea ndani ya chama
ataishia kutumbua vijipu uchungu tu,!
Kwa kufafanua ni kwamba wanaoisoma namba ni team Lowassa ndani ya CCM ambao walitegemea awe rais kwa tiketi ya CCM akakatwa. Walitegemea apate kwa UKAWA akakatwa tena. Laiti angepata tungeona wakihama toka CCM kwa wingi wao kumfuata bosi wa mtandao, EL. Waliasisi MFUMO uliokichafua chama cha ccm. Hao ndo walikuwa wakiimba pale Dodoma- tuna imani na Lowassa. Hao ndo JPM aliwasema mchana ccm, usiku UKAWA. Hao ndo wanaisoma namba T2015JPM. Wengine sisi roho kwatuuu. CCM mbele kwa mbele.
Wacha kujidanganya mkuu..chama kinaimarika...activities za Magufuli zinatetemesha!
Kama ccm haikuanguka wakat wa uchaguzi 2015, kamwe hakiwezi kuanguka- E Lowassa