Lulu: Mimi sina Jini mauti Jamani

Lulu: Mimi sina Jini mauti Jamani

Ni kweli ana pepo kwani siku hizi kila alhamis anakuja kawe kwenye maombezi kuna nabii mmoja yupo kawe kwa mama kessy ndiye anayemuombea tena anakuja na rafiki yake ila anajificha sana tena siku ya kwanza mapepo yake yalimvamia hiyu rafiki yake aliyemleta na kusema kwanini amemleta kwenye maombi wakati lizy ni mtu wao wanamtumia kutafuta damu yaani ilikuwa vurugu sana.
HUyo shehe nae anataka nyama kijanja tu mxiuuu mbuzi akachinje mwenyew, we jiombee kwa mungu lulu, achana na tapel hilo.
 
Ni kweli ana pepo kwani siku hizi kila alhamis anakuja kawe kwenye maombezi kuna nabii mmoja yupo kawe kwa mama kessy ndiye anayemuombea tena anakuja na rafiki yake ila anajificha sana tena siku ya kwanza mapepo yake yalimvamia hiyu rafiki yake aliyemleta na kusema kwanini amemleta kwenye maombi wakati lizy ni mtu wao wanamtumia kutafuta damu yaani ilikuwa vurugu sana.

Pale karibia na jeshi kawa kwa yule mchungaji mghana? KEssy nae alikuwa anasar apo akatolewa mapepo, yeye aliambiwa ana tattoo sijui ya nyoka au nge ndio inayompa mateso, duh bas atapona yule mchungaji ni noma, sema waumin wake wana pesa hatar, kama wewe maskin kama warumi bora mkajazane tu kwa gwajima
 
Kanumba nae aliwahi kumnunulia Lulu perfume kumbe alimnunulia pia demu mwingine, yan wakipewa vijizawadi wanajiona keki kumbe wenzao wanagawa kama pipi kwa kila mtu

Hahahahahaaa wanaume wabaya sana.
Mtu ukipewa zawadi inabidi ukae kimya tu maana haya mambo ya kujisifu kumbe wenzio wanakuchora!
 
Ni kweli ana pepo kwani siku hizi kila alhamis anakuja kawe kwenye maombezi kuna nabii mmoja yupo kawe kwa mama kessy ndiye anayemuombea tena anakuja na rafiki yake ila anajificha sana tena siku ya kwanza mapepo yake yalimvamia hiyu rafiki yake aliyemleta na kusema kwanini amemleta kwenye maombi wakati lizy ni mtu wao wanamtumia kutafuta damu yaani ilikuwa vurugu sana.

Mhhhh habari nzito hii! Sio ajabu kesho tukaiona kwa shigongo!
 
Hhhhhaaaaaaaaaaa hiyo cheni aliyovaa si na husna maulid anayo kwa hiyo wote walipewa za kufananaa zenye madini

hahahahahaaa shouga yangu wewe nakugawa bureee, sio kwa upekuzi huuu, hivi hujazijua za midume?? mkitemana anakusanya vyake, anapewa bebe mpya, si unakumbuka za CK ????
 
Ni kweli ana pepo kwani siku hizi kila alhamis anakuja kawe kwenye maombezi kuna nabii mmoja yupo kawe kwa mama kessy ndiye anayemuombea tena anakuja na rafiki yake ila anajificha sana tena siku ya kwanza mapepo yake yalimvamia hiyu rafiki yake aliyemleta na kusema kwanini amemleta kwenye maombi wakati lizy ni mtu wao wanamtumia kutafuta damu yaani ilikuwa vurugu sana.

Bwana Yesu amsaidie!
 
Lulu wewe ndo rihanna ota hivyo na fanya mambo yako listaa zaidi like diamond okay????
 
Husna ndio nani huyo? anajina lingine?

Sikumbuki anaitwa nani huko instagram maana hua anabadili na sijamfollow pia.
Ila huyu Husna ndio yule aliyenyang'anywa Seki na Lulu.Hata wakati ule wa msiba wa huyo Seki alipost insta akiwa kavaa tanzanite kama hiyo ya Lulu hapo juu.
 
Lulu ambavyo hivi karibuni amekuwa kimyaa nje ya mitandao ya kijamii angebaki hivyo hivyo angeishi kwa amani
 
Sikumbuki anaitwa nani huko instagram maana hua anabadili na sijamfollow pia.
Ila huyu Husna ndio yule aliyenyang'anywa Seki na Lulu.Hata wakati ule wa msiba wa huyo Seki alipost insta akiwa kavaa tanzanite kama hiyo ya Lulu hapo juu.


Ok, nadhani labda ndio huyo kwenye picha post #1 kavaa top nyeusi.
nakumbuka story ilivyotoka nilimpata insta labda nilimfollow ila ndio hivyo wakibadili majina hadi post ije.
 
Ni kweli ana pepo kwani siku hizi kila alhamis anakuja kawe kwenye maombezi kuna nabii mmoja yupo kawe kwa mama kessy ndiye anayemuombea tena anakuja na rafiki yake ila anajificha sana tena siku ya kwanza mapepo yake yalimvamia hiyu rafiki yake aliyemleta na kusema kwanini amemleta kwenye maombi wakati lizy ni mtu wao wanamtumia kutafuta damu yaani ilikuwa vurugu sana.


Wewe majini yako yametoka?
 
Back
Top Bottom