Lulu: Mimi sina Jini mauti Jamani

Lulu: Mimi sina Jini mauti Jamani

Mwenzangu ndio nimetoka kupata break fast ya nguvu kwa mange khaaa, nyie mange sio wa kugomnana nae ni atakuaibisha utajuta, nawashauri mastaa wajipendekeze tu kwa huyo mtu maana nimemshindwa tabia asswh, ila mbona na yeye khaa kuzaa na mume wa mtu ndio nn mxiuuui mbwa uyu

Yaan eti ndio lulu anamchamba mangee heheee chinekeeeeee ,,,nasubiri moto wakee labda mange akaache tu hata arobain ya ujane haijaisha hako mdomo juu kama mkundu wa bata , Geniveroz ukujeee halaf nimekuita insta ukatoe kamchambo kadogo
 
Last edited by a moderator:
Bado lulu namsubiria mangeee atoe lemchamboz

LUlu itakayomtibua ni ya kupewa ngoma tu, ndio maana sekcy alivyokufa alipanick sana, kwa kuwa inajulikana jamaa ndio vile, ndio maana anaogopa kurudi insta, kuna watu wanamjua vizur lulu na secky
 
LUlu itakayomtibua ni ya kupewa ngoma tu, ndio maana sekcy alivyokufa alipanick sana, kwa kuwa inajulikana jamaa ndio vile, ndio maana anaogopa kurudi insta, kuna watu wanamjua vizur lulu na secky

Yupo kaweka private,,,eti anajisifianumalaya umempa kila kitu anagekua mzuriii na anpendwa mbona anaishia kua mchepuko tu,angekua na wake sio kuwa ukewenza na mke wa komba bibi yule mtoto ana janaba kubwa yuleeee
 
Pale karibia na jeshi kawa kwa yule mchungaji mghana? KEssy nae alikuwa anasar apo akatolewa mapepo, yeye aliambiwa ana tattoo sijui ya nyoka au nge ndio inayompa mateso, duh bas atapona yule mchungaji ni noma, sema waumin wake wana pesa hatar, kama wewe maskin kama warumi bora mkajazane tu kwa gwajima
warumi Dada sijawahi kuona avatar yako
 
Last edited by a moderator:
warumi Dada sijawahi kuona avatar yako

Mimi sio dada wewe mtoto shika adabu yako, mimi ni hawara wa baba yako hivyo kuwa na adabu unapoongea na mama zako wa kambo mxiuuuuu!!!, ungekuwa na pesa kama za baba ako ningekupa uonje ujue kama mimi ni dada au mama tumbili wewe mxiuuuuu...
 
Last edited by a moderator:
Yupo kaweka private,,,eti anajisifianumalaya umempa kila kitu anagekua mzuriii na anpendwa mbona anaishia kua mchepuko tu,angekua na wake sio kuwa ukewenza na mke wa komba bibi yule mtoto ana janaba kubwa yuleeee

Nashangaa kama wanaumuona wa maana kwa nini wasimuoe wakampa heshima? Gonjwa kashalipata atahangaika sana mwaka huu mxiuuu ,kujifanya mzuri mxiuuuu wazuri wote wameolewa na wana maisha yao, ye kutwa kufanya umalaya mtoto mdogo anatafuta mabalaa, nasikia lulu kaukwaa mwenzangu kitamboo toka enzi za kenembe
 
Nashangaa kama wanaumuona wa maana kwa nini wasimuoe wakampa heshima? Gonjwa kashalipata atahangaika sana mwaka huu mxiuuu ,kujifanya mzuri mxiuuuu wazuri wote wameolewa na wana maisha yao, ye kutwa kufanya umalaya mtoto mdogo anatafuta mabalaa, nasikia lulu kaukwaa mwenzangu kitamboo toka enzi za kenembe

Ehee atajijuaaaa ndio maana hakatai tongozo
 
Ila kwa hawa wasanii wetu usishangae kukuta luku amefanya makusudi ili apate kiki ya kurudi kwenye social media




Umeona mchambo wa mboni u-turn???.... walah mjini sihami

Maana jana nilivyoona barbanian (sijui spelling ndio hizo) alivyokuwa anarusha vijembe, then posti ya mboni insta nikajua Mange atakuja na gazeti tu

aisee wanawake mna mambo!

Hivi huyu mmiliki wa u-turn anatoaga wapi data?

Nimeona hudda alivyoanikwa nje-ndani! lol

ENVIOUS BLOGGER: Unajua sisi kwa sasa tunawatafuta wale big fish , vi prawns kama kina Huddah hata tukiwakatamata tunaweza tukawachapa vibao tu tukawaacha. YANI Huddah is at the very bottom of the drug food chain. Yani hata yule mtu anaesimama akimsubiria apate haja kubwa aanze hesabu kete na kuziosha hatumtaki, tunaemtaka sisi ni yule jamaa anae sign check za Huddah na yule anaeshika kinyesi cha Huddah. Kwa kweli hawa wanaochutama na kujisaidia kwenye sakafu na wale wanaoshika vinyesi vyao hata tukiwapata bado tatizo litabaki pale pale…. WE WANT THE BIG FISH.

Hahahaaa! Hii blog noma!
 
Nashangaa kama wanaumuona wa maana kwa nini wasimuoe wakampa heshima? Gonjwa kashalipata atahangaika sana mwaka huu mxiuuu ,kujifanya mzuri mxiuuuu wazuri wote wameolewa na wana maisha yao, ye kutwa kufanya umalaya mtoto mdogo anatafuta mabalaa, nasikia lulu kaukwaa mwenzangu kitamboo toka enzi za kenembe
LULU MIKE ANA UKIMWI?

Nothing to say more!

Hivi kwa uzao wa mamaye yuko pekeee?
 
Mimi sio dada wewe mtoto shika adabu yako, mimi ni hawara wa baba yako hivyo kuwa na adabu unapoongea na mama zako wa kambo mxiuuuuu!!!, ungekuwa na pesa kama za baba ako ningekupa uonje ujue kama mimi ni dada au mama tumbili wewe mxiuuuuu...
Hahahahaaaaaaaaa uwiiii
 
Back
Top Bottom