Lulu: Mimi sina Jini mauti Jamani

Lulu: Mimi sina Jini mauti Jamani

Lulu ambavyo hivi karibuni amekuwa kimyaa nje ya mitandao ya kijamii angebaki hivyo hivyo angeishi kwa amani

Yupo insta kwenye page ya huddah anamtukana kweli mange na mtoto wake sijui kwa vile ye mimba zake hua anazinya chooni,,,anatumia lizymichael kanamwagikajee hukoo sikj akishushiwa gazeti na mange atalazwa icu nakuambiaaaaaaaa
 
Yupo insta kwenye page ya huddah anamtukana kweli mange na mtoto wake sijui kwa vile ye mimba zake hua anazinya chooni,,,anatumia lizymichael kanamwagikajee hukoo sikj akishushiwa gazeti na mange atalazwa icu nakuambiaaaaaaaa

Nimeona lizymichael nikawa sielewi

Ngoja amtie mange wazimu amshushie gazeti siri zake zimwagwe hadharani kama hajaenda nigeria kabisa
 
Nimeona lizymichael nikawa sielewi

Ngoja amtie mange wazimu amshushie gazeti siri zake zimwagwe hadharani kama hajaenda nigeria kabisa

Yaan angeepukana na huo uzi mbona mangenhakumuandika vibayaa natamaniii ashushiweee gazeti hhhhhaaaa mwizi wa waume za watu
 
Yupo insta kwenye page ya huddah anamtukana kweli mange na mtoto wake sijui kwa vile ye mimba zake hua anazinya chooni,,,anatumia lizymichael kanamwagikajee hukoo sikj akishushiwa gazeti na mange atalazwa icu nakuambiaaaaaaaa
Heeeerr yupoo, yaaani atalazwa shauri zake mwenzie Mboni kashapewa dose yake leo.
 
Ila kwa hawa wasanii wetu usishangae kukuta luku amefanya makusudi ili apate kiki ya kurudi kwenye social media


Yaan angeepukana na huo uzi mbona mangenhakumuandika vibayaa natamaniii ashushiweee gazeti hhhhhaaaa mwizi wa waume za watu

Umeona mchambo wa mboni u-turn???.... walah mjini sihami

Maana jana nilivyoona barbanian (sijui spelling ndio hizo) alivyokuwa anarusha vijembe, then posti ya mboni insta nikajua Mange atakuja na gazeti tu
 
Ila kwa hawa wasanii wetu usishangae kukuta luku amefanya makusudi ili apate kiki ya kurudi kwenye social media




Umeona mchambo wa mboni u-turn???.... walah mjini sihami

Maana jana nilivyoona barbanian (sijui spelling ndio hizo) alivyokuwa anarusha vijembe, then posti ya mboni insta nikajua Mange atakuja na gazeti tu

Kafanyaje lulu Jaman,hii mvua inaninyima kupiga umbea vzur
 
Ila kwa hawa wasanii wetu usishangae kukuta luku amefanya makusudi ili apate kiki ya kurudi kwenye social media




Umeona mchambo wa mboni u-turn???.... walah mjini sihami

Maana jana nilivyoona barbanian (sijui spelling ndio hizo) alivyokuwa anarusha vijembe, then posti ya mboni insta nikajua Mange atakuja na gazeti tu

Ameshaweka mchambo tayarii hhhhhhaaa ngoja nikimbiekoooo hhhhhaaa
 
KAfanyaje lulu mpaka amchambe mange

Eti hua ana wachamba kwenye blog yake na anaachia comment za kusemwa vibaya wao kina lulu sasa kako kwa hudda kanatukana kwelii ina maaana alikua hawezi kumtukana mpaka asubiri hudaa agombane na mangee,,,
 
EBu nipe umbea kafanyaje mboni

Jana Mannge si alimchamba sijui barbaric queen, sasa Mboni akaweka picha ya huyo dada akiwa mchezaji wa ghana na kumsifia anakula bata...weee sasa mange kaona kamani dongo kwake akampigia uturn mboni kea kichambo hatarii.
 
Shosti nipe ubuyu vizuri

Kumbe mboni kazaa na chief hhhhhaaaaaaaa

Ila ka mboni kamejitutumua kujifanya hakajui kinachoendelea uturn wakati sindano imemuingia.... ikifika jumatatu siri zake zote hadharani walaah
 

Attachments

  • 1431154933808.jpg
    1431154933808.jpg
    58.8 KB · Views: 378
Shosti nipe ubuyu vizuri



Ila ka mboni kamejitutumua kujifanya hakajui kinachoendelea uturn wakati sindano imemuingia.... ikifika jumatatu siri zake zote hadharani walaah

Kama hasomagi mbona kaitoa hiyo picha ya michael na barbadian hhhhhaaaa
 
Kumbe mboni kazaa na chief hhhhhaaaaaaaa

Mwenzangu ndio nimetoka kupata break fast ya nguvu kwa mange khaaa, nyie mange sio wa kugomnana nae ni atakuaibisha utajuta, nawashauri mastaa wajipendekeze tu kwa huyo mtu maana nimemshindwa tabia asswh, ila mbona na yeye khaa kuzaa na mume wa mtu ndio nn mxiuuui mbwa uyu
 
Back
Top Bottom