aisee wanawake mna mambo!
Hivi huyu mmiliki wa u-turn anatoaga wapi data?
Nimeona hudda alivyoanikwa nje-ndani! lol
ENVIOUS BLOGGER: Unajua sisi kwa sasa tunawatafuta wale big fish , vi prawns kama kina Huddah hata tukiwakatamata tunaweza tukawachapa vibao tu tukawaacha. YANI Huddah is at the very bottom of the drug food chain. Yani hata yule mtu anaesimama akimsubiria apate haja kubwa aanze hesabu kete na kuziosha hatumtaki, tunaemtaka sisi ni yule jamaa anae sign check za Huddah na yule anaeshika kinyesi cha Huddah. Kwa kweli hawa wanaochutama na kujisaidia kwenye sakafu na wale wanaoshika vinyesi vyao hata tukiwapata bado tatizo litabaki pale pale . WE WANT THE BIG FISH.
Hahahaaa! Hii blog noma!
Acha tu....
Unajua data nyingine wasomaji wanamtumia kwa email...tena sometimes with evidence. ..
Nyingine anapata kwa upekupeku wake
Ila hudda akirudia nitajua kweli kapinda loh
aisee wanawake mna mambo!
Hivi huyu mmiliki wa u-turn anatoaga wapi data?
Nimeona hudda alivyoanikwa nje-ndani! lol
ENVIOUS BLOGGER: Unajua sisi kwa sasa tunawatafuta wale big fish , vi prawns kama kina Huddah hata tukiwakatamata tunaweza tukawachapa vibao tu tukawaacha. YANI Huddah is at the very bottom of the drug food chain. Yani hata yule mtu anaesimama akimsubiria apate haja kubwa aanze hesabu kete na kuziosha hatumtaki, tunaemtaka sisi ni yule jamaa anae sign check za Huddah na yule anaeshika kinyesi cha Huddah. Kwa kweli hawa wanaochutama na kujisaidia kwenye sakafu na wale wanaoshika vinyesi vyao hata tukiwapata bado tatizo litabaki pale pale . WE WANT THE BIG FISH.
Hahahaaa! Hii blog noma!
HUddah kafanyaje ebu nipeni umbea vizur jaman
Mimi niliwapa laivu watu waliokuwa wakimtukana mange kwa huddah ni waoga wanamtukana kupitia mgongo wa huddah hahaaha jaman kama hujiamini usimchokoze yule mwanamke hahahah SHIKAMOO MANGE, sintah mwenyewe kanywea siku hizi hahahah
Naomba jina la Mange insta.
HUddah kafanyaje ebu nipeni umbea vizur jaman
Mimi niliwapa laivu watu waliokuwa wakimtukana mange kwa huddah ni waoga wanamtukana kupitia mgongo wa huddah hahaaha jaman kama hujiamini usimchokoze yule mwanamke hahahah SHIKAMOO MANGE, sintah mwenyewe kanywea siku hizi hahahah
Naomba jina la Mange insta.
Eti hua ana wachamba kwenye blog yake na anaachia comment za kusemwa vibaya wao kina lulu sasa kako kwa hudda kanatukana kwelii ina maaana alikua hawezi kumtukana mpaka asubiri hudaa agombane na mangee,,,