excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
ufukunyuku wake huyu bi dada unatisha..Hahaaaaa hapo kwa Huddah kuliniacha hoi eti kuchutuma kuna watu wanna maneno aisee.
Nilimchunguza sana huddah na kugundua ana katumbo kadogo sana,
Hiyo point sasa ikawa inatumiwa kwamba anawezaje kubeba kete 500?:confused2:
Mange bhana.. Huyu dada ni mkurya?