TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
sasa hiyo ndio fungulia mbwa au km ni bomba koki ndio inang'olewa kabisa
E bwana wewe fyatu! mijineno yoote hiyo!
sasa hiyo ndio fungulia mbwa au km ni bomba koki ndio inang'olewa kabisa
ubarikiwe eltoro....amewanyamazisha watu waliokuwa wakimsema mara kwa mara kuwa haruhusiwi kufanya mambo ya kikubwa.
kiukweli binti ni mzuri lkn anatakiwa atulie manake midume iko macho juu kumfodoa,halafu hivi huyu si anasoma?yuko form ngapi?asome aache nae unywanywajumapili ya aprili 17, mwaka huu, lulu alikuwa akisherehekea kutimiza miaka 18 aliyotimiza katikati ya wiki iliyopita hivyo kutamba kwamba amewanyamazisha watu waliokuwa wakimsema mara kwa mara kuwa haruhusiwi kufanya mambo ya kikubwa. Jihabarishe zaidi hapa: bethidei ya lulu
View attachment 27848
View attachment 27849
kiukweli binti ni mzuri lkn anatakiwa atulie manake midume iko macho juu kumfodoa,halafu hivi huyu si anasoma?yuko form ngapi?asome aache nae unywanywa
Hivi huyu ndio mtoto alicheza sinema na Kanumba? Ambapo kanumba alikuwa kipofu?
hapo kwenye red mmmh!