Lulu atimiza miaka 18 - Hongera sana

Mtoto wa mwenzako mkubwa mwenzio binti amekua sasa ruksa kuolewa eeh kabla hawajakichakachua kikachuja kikojoleo chake!!
 
amewanyamazisha watu waliokuwa wakimsema mara kwa mara kuwa haruhusiwi kufanya mambo ya kikubwa.

attachment.php
Lulu.jpg
ubarikiwe eltoro....

more photos phuuliiz
 
Lulu wori not, mda c mrefu utataka uweke sherehe ya kurudisha miaka nyuma ili uweze fanya yale mambo unayotakiwa ufanye katika age husika.
 
kheeeee kumbe alikuwa hajafika miaka 18?kazi ipo hapo mwaka huu
 
jumapili ya aprili 17, mwaka huu, lulu alikuwa akisherehekea kutimiza miaka 18 aliyotimiza katikati ya wiki iliyopita hivyo kutamba kwamba amewanyamazisha watu waliokuwa wakimsema mara kwa mara kuwa haruhusiwi kufanya mambo ya kikubwa. Jihabarishe zaidi hapa: bethidei ya lulu

View attachment 27848

View attachment 27849
kiukweli binti ni mzuri lkn anatakiwa atulie manake midume iko macho juu kumfodoa,halafu hivi huyu si anasoma?yuko form ngapi?asome aache nae unywanywa
 
kiukweli binti ni mzuri lkn anatakiwa atulie manake midume iko macho juu kumfodoa,halafu hivi huyu si anasoma?yuko form ngapi?asome aache nae unywanywa

Asome wapi kaacha shule mwaka jana form 3,siku hizi kafungua duka la nyama kila club hakosi watu wanajisevia kiulaaaniii!
 
muwe mna angalia vitu vya kuweka hapa na kuvijadili, nchi hii ina matatizo mengi sana ambayo tunapaswa kuyajadili ili taifa liweze kuendelea lakin habar za aka katoto ambako akana adabu azina sababu zakuwekwa hapa
 
Pigha Magoli kijana,
Weka kasambo, Taruranya, Koma nkapompilo!, Popoapo lelo tukojobha kisungu!, i love u nginba kighane kyako!.

Amekua kwa lazima na atazeeka kabla ya muda wake.

anguketagha itolo!
 
<18yrs++unprotected...=papilloma virus=servical cancer==DEATH

USHAURI TU.
 
na uzuri ARV zipo na kikombe cha babu pia. wasiwasi wa nini ? acheni mtoto wa watu ajimwayemwaye. Na wabongo watampa hicho anachokitaka, kama anadhani yeye ni wa kwanza!!
 
Back
Top Bottom