Lukuvi na Kapteni Komba matatani

Lukuvi na Kapteni Komba matatani

Kwa mainterahamwe ni uzushi, haiwezekani wakahojiwa!

Watawaita kwenye vikao vya ndani na kuwapongeza kwa kazi waliyofanya kuwaondoa UKAWA bungeni, lakini kiama chao chaja Tumewachoka sana
 
kuna kitu ambacho Tanzania imenyimwa ni wananchi wenye fikra pevu. watanzania wengi akili mgando
 
Wa kwanza kuhojiwa anapaswa kuwa kikwete kwa kosa la kuchochea jeshi kupindua nchi
 
.............................................................................................................................................
 
Haha haha haha, yale yale ya kuvuana magamba. EL akamhoji m/kiti, "Jaakaya katika mradi wa RichMonduli nimefanya kitu gani bila kukutaarifu nawe kutoa go ahead?" JK akalowa jasho shati lote la kijani pale White House Dom. Mkapa akaokoa jahazi kwa kushauri kikao kihairishwe hadi leo hakijakaa tena. Tangu siku hiyo suala la kuvua magamba likafa kifo cha kawaida.
 
Kwa kweli kauli ya komba ni nzito!!!...naamini hakumaanisha alichosema....
 
Kweli ndugu yangu, JK mwenyewe alisema wakipendekeza serikali 3 kuna hatari ya jeshi kuchukua nchi kwa hiyo na yeye ahojiwe.

Moja ya kauli za kipumbavu kabisa iliyowahi kutolewa na JK.

Halafu the whole thing seems to be a face saving show, else it would have taken place sooner, with a more public and serious disposition.
 
Hili suala la Lukuvi ni la kuangalia sana. Lukuvi hana hatia wala kosa.
Alichokifanya ni kufikisha ujumbe wa serikali akimwakilisha waziri mkuu Pinda.

Utaratibu wa kuwakilisha ni kueleza alichokusudia mwalikwa. Mwalikwa alikuwa Pinda ambaye ni msadizi wa Rais Kikwete.

Hivyo Lukuvi hana sababu ya kujitetea au kuitwa katika kamati ya maadili. Yeye ni mtumishi aliyetumwa na serikali.

Watu wanashindwa kuelewa kuwa katika miaka 50 ya uhuru hakuna kiongozi aliyeweza kuchochea hisia za majeshi kama JK. Mkuu wa nchi ndiye aliyefungua Pandora box, hawa akina Komba wanashadidia maneno ya bosi wao. Kwa lugha nyingine wanasherehesha hoja za JK.

Komba alikuwa mwanajeshi, JK kasema majeshi yataleta taabu kukiwa na S3, alichokifanya Komba ni kuonyesha mfano wa jinsi watakavyoleta vurugu mbele ya safari kama alivyosema Amir Jeshi mkuu JK.

Baada ya maneno ya Lukuvi, kilichopaswa kufanywa ilikuwa kumlazimisha ajiuzulu ili kuisafisha serikali kutokana na uchafu.

JK ndiye aliyemteua hivyo alipaswa kumwajibisha, kama mtumishi wa chini lakini pia Rais anayelinda katiba na umoja wa kitaifa. JK hakufanya hivyo na Pinda hawawezi kumkemea kwasababu ndiye aliyempa ujumbe.

Kwa staili ya JK kukwepa lawama au kutoudhi mtu, suala hilo amelipeleka katika vikao vya chama vya maadili.

Hakuna sababu ya mambo nyeti kama hili la Lukuvi kwenda kwenye chama.
Lukuvi ni waziri wa serikali hivyo ni mtu wa watu wote.

Kama amewakosea hapaswi kuomba radhi kamati ya maaadili ya CCM anapaswa kuwaomba radhi Watanzania.

Kuomba radhi ni kuachia ngazi kwasababu tayari ameshapanda mbegu mbaya sana ambayo siku za usoni inaweza kuligharimu taifa. Aliyepaswa kumsaidia Lukuvi kuomba radhi ni JK kwa kumpunzisha kazi.

Hatua zozote za CCM kumkaripia au vyovyote ni sawa na jibwa lisilo na meno.
Hii ni mbinu ya kumsafisha JK na Pinda ambao sasa wanalielekeza taifa katika pori la dhahma.

CCM ni nani kwa taifa hili? Nape Nanuye anaweza kufanya nini mbele ya Lukuvi. Nchemba atamwambia nini Lukuvi.

Naona watu wanakimbia ukweli na kumshambulia Lukuvi na Komba.
Ukweli ni kuwa hao ni vipaza sauti tu.

Tatizo lote na jukumu lote lipo kwa Kikwete ambaye si kuwa anawatuma tu bali hawezi hata kuwakemea au kuwafukuza kazi.

Hii maana yake ni moja, tayari watu wanajijengea mfano, na nitashangaa kama atatokea kiongozi na kudai ameagiza mabomu na bunduki halafu akachukuliwa hatua.
Hatua gani ambazo Lukuvi hapaswi kuchukuliwa na serikali?

Hili ni la JK wala si Lukuvi. Mwacheni Lukuvi mnamuonea bure.
Hivi kwanini umhukumu karani aliyefikisha jalada la bosi sehemu husika?
Kwani karani amefanya kosa gani?

Mwacheni Komba hana makosa, yeye alichofanya ni kusherehesha maneno ya Amir Jeshi mkuu.


Mkuu utaongea yote lukuvi ni intarahamwe aliyejaa udini.mwanaharamu huyu Tumeshamjua.Huyu mshenzi aondoshwe kabisa Maana Video clip ya kauli yake kabisani imesambaa sana kwa wanajamii.
 
Matendo ya CCM wakati mwingine kichefuchefu kweli kweli ...No wonder wanatu-rank number one kwa kuwa na IQ ndogo...

Hivi zile kauli za inchi hi haitotawalika iliwahi kutolewa na kiongozi gani vile Upinzani? Na Je alichukuwa hatua gani kisheria?
 
Hivi zile kauli za inchi hi haitotawalika iliwahi kutolewa na kiongozi gani vile Upinzani? Na Je alichukuwa hatua gani kisheria?

Hizo kauli za huyo mpinzani asie kuwa na jina ilikuwa severe na impact kubwa kiasi gani kwa jamii UKILINGANISHA na Kauli ya Lukuvi kwa Waislam wa Tanzania?...
 
Watanzania tunao ugonjwa wa kusahau...CCM wana tabia na kulitumia jeshi letu JWTZ kama boya la kujiokoa maji yanapowafika shingoni. Mnakumbuka 2010?
Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo - Mnadhimu Mkuu JWTZ said:
Vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kikamilifu kupambana na mtu, watu, kikundi, chama au taasisi yoyote itakayokwenda kinyume na (cha) sheria, kuchochea au kufanya fujo, kuvunja amani kwa mujibu wa sheria. Aidha, kuchochea kuyakataa matokeo.

Vyama vya siasa vifanye kampeni kwa ustaarabu na kufuata sheria na kanuni za uchaguzi, visitukane vyombo vya dola wala kuvichokoza kwa vile havihusiki na siasa zaidi ya kulinda amani na utulivu
Hivi vitisho vilitolewa kuwapa wapiga kura hofu na kweli wapiga kura zaidi ya 10,000,000 waliogopa kujitokeza kupiga kura na Kikwete alishinda kwa kura 5,000,000! Kwa sasa Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo ni Balozi wetu China! Jeshi na siasa wapi na wapi!
 
Kuna waliozuiwa kufanya harambee misikitini na makanisani wakaamua kuongeza kasi ya kuhudhuria misiba!

duh!,kama ni hivyo bas EL hakamatiki.kumbe siku hizi anakuja via mlango wa nyuma.lol
 
Na Bulembo je? Eti Warioba alivuliwa Ubunge kwa kuwahonga wananchi nyama! hajui ukweli ni kuwa aliyevuliwa Ubunge ni Stefano Wassira? Samwel 6 naye aunganishwe katika adhabu ya kuachia matusi, kejeli na vijembe, eti angewazuia CCM kutukana Bungeni kungetokea ngeu na mapigano! Unafiki mtupu! maadili anayopigia chapuo yako wapi? Bangladesh!
 
sita nae ni kituko makonda anatukana, sita kimya, komba anatukana sita kimya. kuanzia leo sita hatufai.
 
Back
Top Bottom