Lukuvi na Kapteni Komba matatani

Lukuvi na Kapteni Komba matatani

huenda wakahojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM kwa kauli zao za vitisho na uchochezi. Yumo pia Balozi Ali Karume.
CCM wananishangaza wako wenyewe alafu wanapanic na kutukana why?, is that their nature or ?
 
Hivi huko CCM kuna mtu wa kumnyooshea mwenzake kidole kweli?

Huwa nawahesabu CCM kama mavi tu...
 
huenda wakahojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM kwa kauli zao za vitisho na uchochezi. Yumo pia Balozi Ali Karume.

..how about JK?

..unajua matatizo mengi sana ya CCM yanaanzia na JK.

..mtandao, makundi, rushwa ktk uchaguzi, vyote vimetokana na ambitions za JK kuwa Raisi.

..Richmond nayo inaelekea mhusika ni JK kwasababu haiyumkiniki Waziri Mkuu akiuke maagizo ya baraza la mawaziri bila kuwa na baraka za Raisi.

..hata hivyo vitisho alivyotoa Lukuvi ni kama ameiga tu kwa JK.

..sasa mnasema kamati ya maadili itamhoji Lukuvi, kwanini kamati hiyo haianzi na kuifanyia kazi ripoti ya Philip Mangula ambayo ilimtuhumu JK kwa kukihujumu chama??

cc Pasco, Nguruvi3, Mag3
 
Last edited by a moderator:
Ccm wanapayuka wanavyotaka lakini hawachukuliwi hatua lakini wapinzani wasema ukweli utaambiwa umetukana mpaka wanaanzisha maandamano ya kulaani aliyesema ukweli.
 
huenda wakahojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM kwa kauli zao za vitisho na uchochezi. Yumo pia Balozi Ali Karume.
Hao siyo watu wa kuhojiwa bali wa kufikishwa kwenye nyombo vya dola kujibu mashtaka ya uchochezi.:shetani:
 
Ccm hawana jeuri ya kuhoji yeyote kwani wote wanaogopana
 
huenda wakahojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM kwa kauli zao za vitisho na uchochezi. Yumo pia Balozi Ali Karume.
Kwani hili ni suala la maadili ya chama au suala la jamhuri/kesi ya jinai,lakini kwa ccm inawezekana!!inavyoonekana wameshindwa kutofautisha masuala ya chama na serikali!!
 
..how about JK?

..unajua matatizo mengi sana ya CCM yanaanzia na JK.

..mtandao, makundi, rushwa ktk uchaguzi, vyote vimetokana na ambitions za JK kuwa Raisi.

..Richmond nayo inaelekea mhusika ni JK kwasababu haiyumkiniki Waziri Mkuu akiuke maagizo ya baraza la mawaziri bila kuwa na baraka za Raisi.

..hata hivyo vitisho alivyotoa Lukuvi ni kama ameiga tu kwa JK.

..sasa mnasema kamati ya maadili itamhoji Lukuvi, kwanini kamati hiyo haianzi na kuifanyia kazi ripoti ya Philip Mangula ambayo ilimtuhumu JK kwa kukihujumu chama??

cc Pasco, Nguruvi3, Mag3

Wanayofanya CCM ni sarakasi tu na mataulo wamevaa...! Aliyetoa kauli zote kwa ujumla wake toka mwanzo wa Bunge hadi kuahirishwa leo hii ni JK, na hawa wengine walikuwa wanapiga redundancy tu...yaani walikuwa wana-capitalize au kupigia mstari yale yote JK alishasema na walishakubaliana ktk vikao vyao vya gizani...Waanze na JK...ndio tutajua sio Movie za akina Tom & Jerry....
 
Wahojiwe wakati hata Mkuu wa nchi aliyaongea hayo hayo tena mchana kweupe!

Nchi hii haiendelei kwa sababu wananchi wengi wanapenda kukejeliwa na kudharauliwa!
Maneno yako ni kweli tupu. Intarahamwe watatumaliza, hawana hata soni.
 
Kesi ya nyani, kwenda kwa ngedere.

Hapana mkuu waliokamatwa ni Nyani na Ngedere(Kwani mmoja ni Mkubwa na mwingine ni mdogo ila Mkubwa wa Umbo) na kesi wanaenda kuisikiliza manyani
 
Wapumbavu wengi wamepenya katika uongozi na wanazidi kuongezeka siku hadi siku na hakuna chombo cha kuchuja kwa kuwa wapo wengi wakishangilia upumbavu wao. Uthibitisho zaidi usio na shaka ni majadiliano ndani ya bunge la katiba.
Hatua lazima zichukuliwe, vinginevyo nchi itaangamia.
Hata kama kuna ulazima wa serikali mbili, watu wenye akili wangetumika kufanikisha badala ya kuruhusu mipasho ya kipuuzi.
Wanasahau hata jambo rahisi tu kuwa ukila na kipofu usimshike mkono!
 
Back
Top Bottom