Hivi huko CCM kuna mtu wa kumnyooshea mwenzake kidole kweli?
Huwa nawahesabu CCM kama mavi tu...
Mwingine amejimege eneo la chuo cha Ualimu Bunda/Bunda sec. kajenga nyumba naye anajidai ni msafi na anaweza hata kugombea Uraisi.
Mwingine kamega eneo la shule ya sekondari Morembe kajenga nyumba, naye anajifanya msafi. Hao ndio CCM. Ujambazi mtupu.