Lukuvi: Maendeleo ya kesi ya 'Masogange' huko Afrika Kusini na hii ndiyo ripoti yenyewe...

Mbona hawaendi china na hongkong na kwingineko kuhakikisha wale wafungwa wanapata haki zao?
 

.......endapo kuna mkataba wa ubadilishana wafungwa Serikali itaangalia njia ya kuwasaidia ili watumikie vifungo vyao nchini.
source; TheChoice
Sasa ina maana Waziri mzima hata hajui kama tuna mkataba na SA wa kubadilishana wafungwa au la? And he is dumb enough to talk about this in front of the media and he miraculously get away with it.....waandishi hatuna kabisa!
 
Nimeshangaa sana kwasababu habari zilizopo katika magazeti ni kupatikana na dawa aina ya Methamphetamine na siyo ephedrine.
[/FONT][/SIZE]
-The value of the consignment itself shows these were no ordinary drugs R426 million!
-Officials at OR Tambo airport are no strangers to apprehending drug traffickers. They know the difference between Ephedrine and Crystal Meth.

I think taxpayers money can be put to a better use than wasting it by covering costs of those who were sent to SA, Nzowa and company
 
Kuna haja gani kwa serikali kuingia gharama kupeleka maofisa wake sehemu husika kwa watu wanaojihusisha na madawa???
 
Halafu eti bado tunajiuliza nani anahusika na madawa ya kulevya! Ina maana watanzania hatuoni majibu ya wazi kabisa! Kwanza si ni Lukuvi aliwaambia wabunge kuwa wakianza kutaja hakuna atakayebaki? iIna maana hapa miongoni mwao na Lukuvi yumo, au kama hayumo wamo viongozi ambao Lukuvi anawahofu sana kiasi cha kuamua kusema wabunge wote wanahusika. Mi siamini kama ni wote ila najua ni wengi na asilimia kubwa ikiwa wabunge wa chama tawala, na tusifikiri kuwa viongozi wa mataifa mengine hawajui haya, la hasha, wanajua vizuri na ndio maana wengine kama wa USA wameamua kutucheza shere, wameshajua watz ni wabwia unga kuanzia viongozi hadi raia, kwa hiyo wameamua wajizolee mali zisizo na utata kadri wapendavyo.
Maana ikiwa viongozi wanahusika je wananchi wengine? Tulikuwa tukishangazwa na uongozi wa kisiwa cha Comoros serikali haina nguvu wala maamuzi! kumbe aheri ya Comoros Tanzania ni balaa.
 
Yaani hapo kwenda pamoja na.yote kwenda kuhakikisha wanapata haki zao?????!!!!!


Itabidi sasa aende kote ulimwenguni waliko Watanzani wenye kesi kama hii ili kuhakikisha wanapata haki zao!!!!!

Kweli hapa kwa mambo kama haya tutegemee ushindi!!!!!??????

Mwenyewe nashangaa kwahiyo wanataka kutuambia kuwa wanafanya hivyo kwa kila mtanzania aliyopo nje ya nchi mwenye criminal case?
 
mzigo una mkono wa prnce....lazima mabinti wapate utetezi toka serekalini.
 
Kwa maelezo hayo hapo kesi hakuna na wanachofanya akina Lukuvi na serikali ni kuwaokoa hao mabinti kwani mzigo huo inaonyesha ni wa kwao, Ref ziara ya JK South baada ya kukamatwa hao mabinti.

Jamani mnatutisha! Hizi ishara za kumhusisha JK na mambo haya mnataka tueleweje? Kwamba nchi hii inaongozwa na drug dealers? Kweli tumefikia uozo wa kiwango hicho?
 
Yaani hapo kwenda pamoja na.yote kwenda kuhakikisha wanapata haki zao?????!!!!!


Itabidi sasa aende kote ulimwenguni waliko Watanzani wenye kesi kama hii ili kuhakikisha wanapata haki zao!!!!!

Kweli hapa kwa mambo kama haya tutegemee ushindi!!!!!??????

Mie mwenyewe nimebaki na maswali lukuki ambayo sijui ntampata wapi Lukuvi anipatie majibu! Hivi hatuna balozi Afrika Kusini? Halafu waTZ woooote waliokamatwa na unga sehemu mbali mbali ulimwenguni, timu zilienda? Jamani akina Lukuvi, khaa......!!!
 
alisikitika jinsi wanavyolipwa hela kidogo...itabidi drug mules wapandishiwe dau bana kutoka dollar 5000 angalau mpaka 10
 
Kuna haja gani kwa serikali kuingia gharama kupeleka maofisa wake sehemu husika kwa watu wanaojihusisha na madawa???
It remains a mystery whether JK used his own money to cover the cost of rehabilitating Ray C a drug addict. It goes without saying that our government contributes to the growth in the number of Tanzanians involved in illegal drugs
 
Kumbe ndiyo maana anaenda California (Marekani) kule alikokamatwa mtanzania na cocaine mwaka jana.....Duh, Kikwete kweli ni doctor....yaani anaona mbali sana na ana uchungu sana na raia wake wanaotafuta utajiri wa haraka haraka kupitia kwa Ritz1 na kundi lake. Nani aliyesema ikulu hakuna biashara?

Umenukuu vibaya.........."IKULU KUNA BIASHARA GANI..........." aliyeuliza hili swali alikua sio mjasiriamali..........alikua kiongozi.
 
Kuna haja gani kwa serikali kuingia gharama kupeleka maofisa wake sehemu husika kwa watu wanaojihusisha na madawa???

Ipo haja kwa kuwa serikali yenyewe ndio inahusika na hii biashara. Pia mtoto wa kiongozi wetu mwenyekiti wa chama na mtoto wa mzee wetu Ngombale ndio wanaongoza kitengo cha hii biashara serikalini.
 
Hakuna kesi hapo Hong Kong kuna tunaambiwa kuna watanzani zaidi ya 100 Nani ameenda? Kwanza huu utaratibu umeanza lini? mbona hatujawahi kusikia hata siku moja kwamba serikali imefanya kitu kama hicho
 
Washatoka tayari, dalili zote wazi? Swali la msingi ni moja tu, in watanzania wangapi wamewahi kukamatwa na madawa ya kulevya serikali ikaanza kuwafuatilia kwa karibu namna hii? Hakuna jipya hapa, ni muda tu wanasubiri tusahau kama kawaida yetu
 
Back
Top Bottom