Luku yangu inawaka na units zipo ila umeme hakuna. Nini tatizo?

Jaribu kuingiza 004 then enter uangalie inasoma voltage ngapi (kwa baadhi ya meters)
 
Kwangu iliwahi kufanya hivyo. Ila yenyewe umeme ulikatika kote, uliporudi sehemu nyingine uliwaka kwangu haukuwaka.
Niliwapigia simu, kabla hawajaja ukakata kote.
Uliporudi na kwangu ukawa umewaka.

Kwa hiyo inawezekana umeme mdogo.
 
Wakuu hili limejitokeza leo kwangu. Unit kwenye mita zinasoma 12. Ila cha ajabu umeme hakuna. Nini kinaweza kua tatizo. Msaada tafadhali.
Mita yako ime tempa..
Piga tanesco huduma kwa mteja watakuuliza namba za mita yako alafu ukishawaambia kuna namba watakuambia uanze kuziingiza ndio uendeleze na namba za luku inakubali.
Pe sana
 
Meter yako itakuwa ni ya kisasa. Kukiwa na umeme mkubwa (high voltage) zaidi ya 240 inazuia umeme usitoke nje ya meter na kuingia kwenye matumizi
Kitaalau inaitwa ime tempa.
Huenda kagusa wire (ninazoingia kwenye miter)maana hizi miter jiza kisasa zaidi ukigusa tuu ndio inatokea hilo.
Hapo hadi apige tanesco kuna namba watamtajia aziingize zikifuatiwa na na luku ndio itafunguka
 
Kuna mda umeme ukicheza hua circuit breaker inajifyatua,
Angalia kwenye Earth leakage Circuit breaker yako..
Hio inakua imeandikwa kwa maandishi makubwa mekundu mara nyingi ni
63/0.03..

Kuna kidude cha cha kuzungusha, juu yake kuna alama 0 na kulia kuna 1, hakikisha mshale wake unasoma kwenge 1.
Screenshot_20240318_205221_Gallery.jpg
 
Kuna mda umeme ukicheza hua circuit breaker inajifyatua,
Angalia kwenye Earth leakage Circuit breaker yako..
Hio inakua imeandikwa kwa maandishi makubwa mekundu mara nyingi ni
63/0.03..

Kuna kidude cha cha kuzungusha, juu yake kuna alama 0 na kulia kuna 1, hakikisha mshale wake unasoma kwenge 1.View attachment 2938435

Ushauri mzuri

Aaangalie pia kwenye Socket breaker vile vi swich, kama kuna ambacho kimeshuka chini, Akipandishe juu
 
Kwanza angalia circuit breaker kama ipo 1 au 0, then ukiona ipo sawa tumiatesta pima wire wa live na neutral ukiona zote zinaonyesha mwanga hapo kutakuwa na temper luku kwaiyo wapigie tanesco emergency watakuja kutoa iyo tempa,
 
Back
Top Bottom