Luhaga Mpina simamia hapohapo, wengine wameamua kulamba asali

Luhaga Mpina simamia hapohapo, wengine wameamua kulamba asali

Ni kweli kabisa, tena huenda ikafika mahali wakatamani lisionyeshwe live.
Maana baadhi ya wabunge watakaojitambua wataamua kupigania ubunge wao kwa kukaa upande wa wananchi.

Sababu kupitia Bunge live,wapiga kura wao,watakuwa wakiwashuhudia kazi yao!
Anayeamua nani awe mbunge ni kamati kuu ya CCM ambayo kiongozi wake ni Samia, mbunge kimbelele utakatwa tu, jidanganye eti wananchi 😂😂

Yule gaidi wenu aliyekuwa akiua demokrasia mlicheka mkidhani atatawala milele
 
Wakati akiwa waziri aliwapola whavuvi mnyavu ,mashine za mitumbwi na Mifugo ,nenda Bariadi waulize jamii ya kisukuma na wamasai wa Morogoro alichowafanyia.
Lowassa na Sumaye walitufunza tuangalie yajayo na si yaliyopita.
 
Mpina hoja yako simama nayo hivyohivyo kwani vitisho vipo ila mweke Mungu mbele kwa kila jambo.
Usiogope kwani Mungu ni Mwema kwako.
Amina
Kweli kabisa,vizingiti ni vingi ila akisimamia haki Mungu atakuwa Upande wake.
 
Mkishamtumia msije kumtupa 😄😄..

Hadi Msukuma amemkana Bungeni kwamba ni mnafiki na mpuuzi,leo nimemsikia Msukuma kwa kauli yake kwamba Bwawa la Nyerere limesogea mara 4 zaidi ya alivyoliacha JPM na hata kusua sua kwake wamebaini ilikuwa shida ya kitaalamu na sio ishu ya Waziri Makamba..

Sasa huyo Mpina wako ndugu sukuma gang ataungwa mkono na nani? Mwambie arudishe bus la Musukuma alilikamata kwa kupakia samaki 3 😂😂😂😂
Acha ujinga linapokuja suala nyeti la kitaifa!
 
Samahani wanyonge ndio akina nani?
Wale tusiolamba asali mkuu!

Wale ambao kwetu maisha na kipato chetu ni
"Hand to Mouth"

Wale ambao tunapiga "KURA" ili kuwapa "KULA"
 
Unaweza thibitisha? Hilo Bunge unaangalia peke yako na kuiona hiyo vita?

Mods watu kama Hawa wanaoleta chokochoko za kidini piga ban
Udini ni ujinga, na kutetea ujinga kwa maslahi ya wachache ni ujinga mara dufu!

Wewe ni miongoni mwa wanufaika na watafuna nchi, unaweza kufurahi kwa muda mfupi wenzako walio wengi wakiishia kula mlo mmoja nao kwa tabu na machozi mengi kwa sabb yenu, lakini ni wangapi waliowahi kuwa hivyo kama nyinyi majizi lkn hawako tena?

Ni sanda pekee tutayoondoka nayo, endelea kula kwa urefu wa kamba, ni kwa muda tuu,

Haki ya watu mnaifanya kuwa hisani siyo?
 
Wale tusiolamba asali mkuu!

Wale ambao kwetu maisha na kipato chetu ni
"Hand to Mouth"

Wale ambao tunapiga "KURA" ili kuwapa "KULA"

Hata hivyo huwa hawahitaji kura yako maana vyombo vya dola vipo.
 
Udini ni ujinga, na kutetea ujinga kwa maslahi ya wachache ni ujinga mara dufu!

Wewe ni miongoni mwa wanufaika na watafuna nchi, unaweza kufurahi kwa muda mfupi wenzako walio wengi wakiishia kula mlo mmoja nao kwa tabu na machozi mengi kwa sabb yenu, lakini ni wangapi waliowahi kuwa hivyo kama nyinyi majizi lkn hawako tena?

Ni sanda pekee tutayoondoka nayo, endelea kula kwa urefu wa kamba, ni kwa muda tuu,

Haki ya watu mnaifanya kuwa hisani siyo?
Rubbish mkubwa wewe,unatetea udini? Una akili timamu?
 
Sukuma gang wakiwa kwenye ubora wao 😄😄😄..

Musukuma kamuelewa mama,ni mda tuh na huyo mpina (kwa lugha ya wanyiha wa Mbozi ni maskini?) nae ataelewa

Screenshot_20220408-142751.png


Screenshot_20220408-142845.png
 
Huu ndio ukweli Sasa ndani ya CCM ni udini tu na uzanzibar hapa wafuasi wa jpm wanaona waislam wa zanzibar hasa pale ikulu (kumbuka wote walitoka zanzibar kwenye safisha safisha ya kuondoa pro JPM pale ikulu .

Kwa Sisi waislam ndugu wa karibu ni muislam mwenzako kabla ya yeyote ndio unaona. Simba wa yuda na .......


USSR
Lawitianeni huko ila msitupake mavi yenu, washenzi wanafiki wakubwa nyie.
 
Halafu huyo Lowassa yupo CCM na mtoto wake Ni mbunge. Wewe endelea kujifanya adui wa Chadema wakati wenzako wanagawana madaraka.
Haiwezekani wanachama wote wa CCM tukawa wabunge mkuu....

CCM ni imani kaka....si lazima wote tuwe "makuhani".......

2969622_images_9.jpeg
 
Back
Top Bottom