Luhaga Mpina simamia hapohapo, wengine wameamua kulamba asali

Luhaga Mpina simamia hapohapo, wengine wameamua kulamba asali

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943
Tunajua kuna "WALAMBA ASALI" watakaotumika ili kukukatisha tamaa juu ya maamuzi uliyoamua kuyachukua kwa kuwa upande wa wanyonge dhidi ya walamba Asali wa nchi hii.

Tunawaona wengine humu kila Mkemea maovu dhidi ya wanyonge anaishia kuitwa "Sukuma Gang"

Wewe kazia uliposimamia "UKWELI" daima,hujitenga na "UONGO"

Usiwasikilize bali sikiliza wale waliokutuma Bungeni.

Pia tumekwisha waona baadhi ya wazee wa kihuni ndani ya Chama wakianza Press Comference za kutetea Midomo na Matumbo yao.

Sababu wanalamba Asali kupitia teuzi za watoto wao!

Hao tumewazoea na tunawajua na ndio haohao waliowahi kuifelisha CCM hadi wakiuza hata shule za wanyonge.

Lakini leo hii wanajitokeza kama mashujaa,tena wakijisifia kuimiliki CCM.

Mpina umeamua maamuzi magumu lakini katika kipindi muhimu zaidi.Tunajua silaha kubwa ya walina Asali huwa ni "Moto".

Hivyo basi tambua kuwa unapoamua kuingia msituni dhidi ya walamba Asali.

Vema pia ujizatiti kwa kujihadhari zaidi na moto kutoka kwa Wale walina Asali na Moto wao wa "Jinaba"

Umeamua kupigana vita na kundi ambalo halipo kwa maslahi ya wanyonge,bali kwa maslahi yao na koo zao.

Kwa kuwa Kundi kubwa la wabunge wa CCM,wameamua kuwatelekeza wananchi na wapiga kura wao.
Sababu ya tamaa ya teuzi kwa maslahi yao binafsi.

Wewe simama na "Haki" na hili litaonyesha majibu ambayo yatawashangaza walina Asali.
Labda wajirekebishe.

La sivyo itakuwa suala la Muda tu.umeanza kama peke yako....lakini muda utaongea na Mungu atasimama upande wa wengi!

Sisi watafuta Sembe tuko na wewe........

Maamuzi yoyote ya kukufunga mdoma kwa hila Ovu yatawaumbuwa Soon!
commonmwananchi
10101.
 
Mpina anawapiga pini kweli kweli

Naona vita ya kidini inazidi kuwa kubwa BUNGENI ni wakristo na jpm dhidi ya waislam na Samia


CC. Zito kabwe

USSR
Ila wewe USSR tabiri zako huwa Tata!
 
Tunajua kuna watakaotumika ili kukukatisha tamaa juu ya maamuzi uliyoamua kuyachukua kwa kuwa upande wa wanyonge dhidi ya walamba Asali wa nchi hii.

Tunawaona wengine humu kila Mkemea maovu dhidi ya wanyonge anaishia kuitwa "Sukuma Gang"

Wewe kazia uliposimamia "UKWELI" daima,hujitenga na "UONGO"

Usiwasikilize bali sikiliza wale waliokutuma Bungeni.

Pia tumekwisha waona baadhi ya wazee wa kihuni ndani ya Chama wakianza Press Comference za kutetea Midomo na Matumbo yao.

Sababu wanalamba Asali kupitia teuzi za watoto wao!

Hao tumewazoea na tunawajua na ndio haohao waliowahi kuifelisha CCM hadi wakiuza hata shule za wanyonge.

Lakini leo hii wanajitokeza kama mashujaa,tena wakijisifia kuimiliki CCM.

Mpina umeamua maamuzi magumu lakini katika kipindi muhimu zaidi.Tunajua silaha kubwa ya walina Asali huwa ni "Moto".

Hivyo basi tambua kuwa unapoamua kuingia msituni dhidi ya walamba Asali.
Vema pia ujizatiti kwa kujihadhari zaidi na moto kutoka kwa Wale walina Asali na Moto wao wa "Janaba" na kundi lao la Walina Asali.

Umeamua kupigana vita na kundi ambalo halipo kwa maslahi ya wanyonge,bali kwa maslahi yao na koo zao.

Kwa kuwa Kundi kubwa la wabunge wa CCM,wameamua kuwatelekeza wananchi na wapiga kura wao.
Sababu ya tamaa ya teuzi kwa maslahi yao binafsi.

Wewe simama na "Haki" na hili litaonyesha majibu ambayo yatawashangaza walina Asali.
Labda wajirekebishe.

La sivyo itakuwa suala la Muda tu.umeanza kama peke yako....lakini muda utaongea na Mungu atasimama upande wa wengi!

Sisi watafuta Sembe tuko na wewe........

Maamuzi yoyote ya kukufunga mdoma kwa hila Ovu yatawaumbuwa Soon!
commonmwananchi
10101.
Kumbe yeye Mpina alipokuwa ni Waziri hiyo ASALI haikuwa ikilambwa eeee?!!!

Hayaaa

#Siempre JMT🙏
 
Ila wewe USSR tabiri zako huwa Tata!
Huu ndio ukweli Sasa ndani ya CCM ni udini tu na uzanzibar hapa wafuasi wa jpm wanaona waislam wa zanzibar hasa pale ikulu (kumbuka wote walitoka zanzibar kwenye safisha safisha ya kuondoa pro JPM pale ikulu .

Kwa Sisi waislam ndugu wa karibu ni muislam mwenzako kabla ya yeyote ndio unaona. Simba wa yuda na .......


USSR
 
Huu ndio ukweli Sasa ndani ya CCM ni udini tu na uzanzibar hapa wafuasi wa jpm wanaona waislam wa zanzibar hasa pale ikulu (kumbuka wote walitoka zanzibar kwenye safisha safisha ya kuondoa pro JPM pale ikulu .

Kwa Sisi waislam ndugu wa karibu ni muislam mwenzako kabla ya yeyote ndio unaona. Simba wa yuda na .......


USSR
Nimekusoma kwakina USSR.

Ila kwenye Ukweli lazima Uongo utaumbuka tu.
 
Kuulekea 2025 na hili bunge la live coverage Samia anakazi kubwa bora asingeingia huko , mawaziri wake watachapwa mpaka wachakae

USSR
Ni kweli kabisa, tena huenda ikafika mahali wakatamani lisionyeshwe live.
Maana baadhi ya wabunge watakaojitambua wataamua kupigania ubunge wao kwa kukaa upande wa wananchi.

Sababu kupitia Bunge live,wapiga kura wao,watakuwa wakiwashuhudia kazi yao!
 
Kumbe yeye Mpina alipokuwa ni Waziri hiyo ASALI haikuwa ikilambwa eeee?!!!

Hayaaa

#Siempre JMT🙏
Wakati akiwa waziri aliwapola whavuvi mnyavu ,mashine za mitumbwi na Mifugo ,nenda Bariadi waulize jamii ya kisukuma na wamasai wa Morogoro alichowafanyia.
 
Labda kama kungekuwa na wapinzani halisi
Mkuu mark my words ndani ya CCM Kuna vuguvugu kubwa sana zaidi ya Lile la lowasa mwaka 2015 dhidi ya kikwete na mfumuko wa bei utawabeba maana njaa ndio kila kitu hakuna mjanja mbele ya njaa

Wabunge wa ccm wanajipigania maana 2025 kutakuwa kigumu Ile mbeleko ya JPM haipo tena na mama hana mgongo wa kuwa beba

USSR
 
Timu gaidi wameungana na mafisadi ya ccm
Kwa namna fulani hivi,kuna mgawanyiko washabiki wa mmoja wako kwa timu ya Mafisadi.
Lakini Lissu yeye ameungana na Mpina tangu jana!
 
Huu ndio ukweli Sasa ndani ya CCM ni udini tu na uzanzibar hapa wafuasi wa jpm wanaona waislam wa zanzibar hasa pale ikulu (kumbuka wote walitoka zanzibar kwenye safisha safisha ya kuondoa pro JPM pale ikulu .

Kwa Sisi waislam ndugu wa karibu ni muislam mwenzako kabla ya yeyote ndio unaona. Simba wa yuda na .......


USSR
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu .....

Serikali ya Tanzania haikuanza kuundwa na mh.SSH....

Huko nyuma "ujinga huo usiopo" ulisemwa sana na "wafia dini" wasioitambua vyema thamani kubwa ya taifa lao Tanzania.....

Kama si utoto ni nini sasa ?!!!

Tanzania ni MUHIMU zaidi kuliko hizo IMANI ZA DINI ZENU zinazowafanya muwabague wengine tu kwa kuwa tu fulani ameonekana ikulu....kwani ikulu wanatakiwa akina nani haswa?!!!!

#Tanzania NiMuhimu Zaidi Ya Imani Zenu Za Kinafiki
#Siempre JMT🙏
 
Ni kweli kabisa, tena huenda ikafika mahali wakatamani lisionyeshwe live.
Maana baadhi ya wabunge watakaojitambua wataamua kupigania ubunge wao kwa kukaa upande wa wananchi.

Sababu kupitia Bunge live,wapiga kura wao,watakuwa wakiwashuhudia kazi yao!
Kwa sasa wabunge wanataka kujijengea jina na political power kwa wananchi wanapigamia wananchi na kupigania WANANCHI lazima uwe dhidi ya serkali hapa ni hatari sana CCM inagawanyika

USSR
 
Back
Top Bottom