NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,176
- 12,647
HahahahahahaahWakuu body language wa dem mwenye nyege namjuaje ?? Lol
Ili tujue tunaenda na gear gan.
HahahahahahaahWakuu body language wa dem mwenye nyege namjuaje ?? Lol
Ili tujue tunaenda na gear gan.
Hapo umenilenga mkuu, maana mimi nikikasirika kupita kiasi huwa natabasamu, nikiwa kawaida mtu unaweza kufikiri nimekasirika yaani huwa nawapa wakati mgumu kweli kazini, naweza kuongea jambo sirious nikiwa nimekasirika lakini mtu atahisi natania/nipo kawaida mpaka ni msisitize kwa Body language huku nikionyesha sitaki utani ndo hunielewaKuna watu wanaonyesha nyuso za tabasamu muda wote hata pale wanapopatwa na hasira ni ngumu kung'amua kma wameuzika...wengine kuchekacheka pia.
Wapo wale wanapokuwa na hasira hudondosha machozi sasa usije ukafasiri ni huzuni kumbe ni jazba zilizopitiliza zile
Macho yatamlegea,hata kama ana macho malegevu basi hapa yatakuwa mara 3 yake. Viungo vyake vitakosa ushirikiano na mwili wake,hapa kila utachogusa hajiwezi.Wakuu body language wa dem mwenye nyege namjuaje ?? Lol
Ili tujue tunaenda na gear gan.
Kuna watu wanaonyesha nyuso za tabasamu muda wote hata pale wanapopatwa na hasira ni ngumu kung'amua kma wameuzika...wengine kuchekacheka pia.
Wapo wale wanapokuwa na hasira hudondosha machozi sasa usije ukafasiri ni huzuni kumbe ni jazba zilizopitiliza zile
Kicheko fake kinaonekana.Hapo umenilenga mkuu, maana mimi nikikasirika kupita kiasi huwa natabasamu, nikiwa kawaida mtu unaweza kufikiri nimekasirika yaani huwa nawapa wakati mgumu kweli kazini, naweza kuongea jambo sirious nikiwa nimekasirika lakini mtu atahisi natania/nipo kawaida mpaka ni msisitize kwa Body language huku nikionyesha sitaki utani ndo hunielewa
Mkuu, Mimi mpaka unizoee vinginevyo nitakusumbua sanaKicheko fake kinaonekana.
Kicheko cha furaha na kisicho cha furaha vinatofauti kubwa, halafu ujumbe wa mwili kuepuka mkanganyiko hausomwi kwa tendo moja pekeee
Pitch ya sauti, macho, koromeo, movement za mikono etc.
So kusanya na angalia detail nyingi huwezavyo kuwa na hakika zaidi
I am speechless Mkuu,I have nothing to add.U may add kitu piaa mkuu,,
Jina lako na ulichokiandika vinashabihiana ..... big up to uPicha zote zimeonyesha kwa hakika namna body language inavyoweza kitawala mazungumzo. Yani ukiangalia tu unajua hapa ninayezungumza naye haniamini/amefurahishwa/hajafurahisha/anajiamini/hajiamini. Binafsi nadhani ninajua sana kusoma body language. Pia najua kutumia body language kwenye mazungumzo naona nafanikiwa sana katika mawasiliano yangu na marafiki/ndugu/wafanyabiashara nk.