Lugha ya Mwili (BODY LANGUAGE)

20PROFF

JF-Expert Member
Nov 5, 2013
7,969
6,755
Habari za wasaaa.

Asilimia zaidi ya 80% ya mazungumzo yetu hufanya kwa vitendo bila maneno, nikimaanisha mwili huongea zaid kuliko maneno tusemayo.

Hili tendo huwa si la hiyari, kile kilichopo akili huonekana mwilini automaticaly bila kujali umetaka ionekane au hapana.
Mawasiliana haya ni kama mfano Computer ifanyavyo kazi kinachofanyika katika Cpu kitaonekana kwenye monitor.

Lugha hizi huweza onekana wazi wazi au kujificha hutegemea na mtu husika na utaalamu wa kucheza na hizi lugha za mwili wake.

Hutokea haraka sana inahitaji umakini kuzisoma , kwa mara nyingine.

Ingawa ni tendo lisilo la hiyari lakini kuna wataalamu wanaojifunza na kufindisha kudanganya hizi lugha za mwili.

Hebu tazama kidgo baadhi ya hizi picha kuweza kupata kujua nisemacho kwa uzuri
1468068358732.jpg
1468068421301.jpg
1468068432692.jpg
1468068451949.jpg
1468068464844.jpg
1468068483592.jpg
1468068495701.jpg
 
Picha zote zimeonyesha kwa hakika namna body language inavyoweza kitawala mazungumzo. Yani ukiangalia tu unajua hapa ninayezungumza naye haniamini/amefurahishwa/hajafurahisha/anajiamini/hajiamini. Binafsi nadhani ninajua sana kusoma body language. Pia najua kutumia body language kwenye mazungumzo naona nafanikiwa sana katika mawasiliano yangu na marafiki/ndugu/wafanyabiashara nk.
 
Picha zote zimeonyesha kwa hakika namna body language inavyoweza kitawala mazungumzo. Yani ukiangalia tu unajua hapa ninayezungumza naye haniamini/amefurahishwa/hajafurahisha/anajiamini/hajiamini. Binafsi nadhani ninajua sana kusoma body language. Pia najua kutumia body language kwenye mazungumzo naona nafanikiwa sana katika mawasiliano yangu na marafiki/ndugu/wafanyabiashara nk.
Hii kitu ni natural... Naweza talk na mtu then nikajua nin kina roll kwa mind yake na mimi nacheza mule mule.

Ila unaweza jifunza hata mambo ya mico expresion ili huwe nondo zaidi
1468081396309.jpg
1468081405614.jpg
1468081415345.jpg
 
Ukisoma international procurement utakutana na vitu oversea negotiation tactics ambapo unatakiwa kusoma body language na culture za watu wanao ishi kwenye nchi husika ili to avoid misunderstanding and to get along well
Ni nguzo nzuri sana katika biashara piaa
 
Ila unahitajika umakini wa hali ya juu kbsa maana kuna watu wameumbiwa hali fulani ambayo inaonekana kwny mazingira tofauti tofauti
 
na wale wenye msongo wa mawazo sugu, uwezo wao wa kucheza na body language upo?
 
Kuna watu wanaonyesha nyuso za tabasamu muda wote hata pale wanapopatwa na hasira ni ngumu kung'amua kma wameuzika...wengine kuchekacheka pia.

Wapo wale wanapokuwa na hasira hudondosha machozi sasa usije ukafasiri ni huzuni kumbe ni jazba zilizopitiliza zile
Hapo nimekupata vilivyo mkuu
 
Hapo nimekupata vilivyo mkuu
Katika body language ndio maana huangalii peke yake facial expression pia unaangalia pose na tone of the voice MTU anaweza kupretend ila hawez kujificha katik kila jambo
 
Back
Top Bottom