The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,208
- 51,240
"Babe nimeota umeninunulia mkufu wa dhahabu,sijui itakua kweli?"
Kidume "Rudi ukalale ili uuvae mkufu wako"
Kidume "Rudi ukalale ili uuvae mkufu wako"
Hio kauli ya nikwambie kitu sijui nan alie wakalilishaBaby nikuambie kitu, naomba zawadi, naomba elfu 10, etc
BABATI Oyeeee!!!😜Mama yupo babati anaumwa, hapa ameniambia nimtaftie laki mbili alipie huduma, nimechanganyikiwa kabisa.
Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
HahahaHawa viumbe wameanzisha tozo kimya kimya
Kwa kweli inawezekana,na hzo tozo zipo muda Sana kabla ya hizi za Burundi.Hawa viumbe wameanzisha tozo kimya kimya
Wengi wanaigizaWatakuwa wamegundua tunawatongoza kwa mfanano kwa hiyo nawo wanaomba kwa mfanano,
Kuna mmoja nimetoka kumuongezea hela ya gesi muda si mrefu, tuwasaidie tu Kuna wanaoigiza na Kuna wa kweli huwa wamebanwa.
wapi????Mama yupo babati anaumwa, hapa ameniambia nimtaftie laki mbili alipie huduma, nimechanganyikiwa kabisa.
Hapo ni sawa mtu mnaye siku nyingi.pia Ile omba yake sio ya mizinga ama kukuchuna. Amekupa gemu zaidi hata 10x ivi na smt alikuwa anagharimikia outing zingine hapo hata Kama ngapi utamtoa.Usikute wanajenga nyumba kwa style hii..
Binafsi hainiumi kama mtu ni mpenzi wako
Inakasirisha kama umekutana nae jana Tu..
Unabaki na maswali..
Tusingeonana Jana saloon usingeenda?