Wanawake acheni kutumia watoto kama njia ya kutupiga mizinga

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
1,945
5,849
Tabia mbaya sana ya hawa wanawake, wanawekeza kukukamatisha mimba kiutata utata huku akijua wazi kabisa atakupiga mizinga kupitia mwanao.

Ukisema basi uishi na uliye mpa mimba atakukatalia na kukuambia tutabaki kua wazazi tuu, lengo ni awe huru kutuuzia mayai yake indirect

Wanazaa na wanaume tofauti tofauti hovyo na wenye kipato tofauti kwa matarajio ya kujilimbikizia mapato huku na huko kwa kisingizio cha matunzo ya mtoto

Atadai hela ya malezi ya mtoto na hapo mkae mkijua kila mwanaume mwenye kipato tofauti atatuma hela ya kumlelea mwanae, kwa idadi ya wanaume alio zaa nao.

Unakuta kabisa laki mbili inatosha walisha watoto hata watatu au wa nne kwa mwezi na kuwavalisha ila yeye atataka kila mwanaume atume hiyo laki mbili , sasa jiulize wote mkituma hiyo laki mbili na kama kazaa na wanaume wa tatu ni shilingi ngapi kwa mwezi.

Atakuambia mtoto anaumwa ili akujaze masitress ujichanganye utume hela ya kutibu mtoto ,kumbe mtoto haumwi ni yeye anataka kukupiga mizinga kupitia mtoto wako ili akakamilishe tamaa zake za hovyo huko nje.

Nyie wanawake achaneni na huu ujinga wa kutumia watoto wetu kutupiga mizinga msituone wajinga tunawaelewa sana. wanaume wengine hatutaki masihara , tunakunyang'anya mtoto hata kama ana mwaka mmoja au tunakutelekezea huko uangaike nae akikua atatafuta baba yeke.
 
Yani wanaume bana jukumu lenu ni hilo hilo moja tu la kutafuta pesa ila nalo bado mnaliona kubwa sana mnataka wanawake wawasaidie, vipi wanawake ambao wao ndio wanabeba mimba, wanazaa, wananyonyesha, wanalea nk

Kusema kwamba eti hayo ni majukumu ya kimaumbile siyo hoja ndio maana kuna mgawanyo wa majukumu, sawa hata mbwa anazaa ila tukumbuke mbwa hajengi, hasomeshi, halipi bili, hahudumii watoto wala hana jukumu la kulea watoto katika misingi na maadili yanayotakiwa

Na mwisho kabisa binadamu na mbwa wote wanakufa ila kifo cha binadamu huwa kinachukuliwa kwa uzito mkubwa
 
Yani wanaume bana jukumu lenu ni hilo hilo moja tu la kutafuta pesa ila nalo bado mnaliona kubwa sana mnataka wanawake wawasaidie, vipi wanawake ambao wao ndio wanabeba mimba, wanazaa, wananyonyesha, wanalea nk

Kusema kwamba eti hayo ni majukumu ya kimaumbile siyo hoja ndio maana kuna mgawanyo wa majukumu, sawa hata mbwa anazaa ila tukumbuke mbwa hajengi, hasomeshi, halipi bili, hahudumii watoto wala hana jukumu la kulea watoto katika misingi na maadili yanayotakiwa

Na mwisho kabisa binadamu na mbwa wote wanakufa ila kifo cha binadamu huwa kinachukuliwa kwa uzito mkubwa
Inawezekana pia ata kifo cha mbwa ,mbwa wenzake wanakichukulia kwa ukubwa tu sema sisi hatujui, kwenye mchango wako tupo pamoja ila kwenye kifo cha mbwa nakataa no .
 
Inawezekana pia ata kifo cha mbwa ,mbwa wenzake wanakichukulia kwa ukubwa tu sema sisi hatujui, kwenye mchango wako tupo pamoja ila kwenye kifo cha mbwa nakataa no .
Hahaha sahihi lakini sasa huoni kama hapo kuna utofauti mkubwa tayari, kifo cha mbwa kina uzito kwa mbwa wenzake na siyo kwa binadamu, kwahiyo inashangaza binadamu anapojifananisha na mbwa
 
Back
Top Bottom