Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato kwa mdada au wadada unaofahamiana nao na kutoka nao.
Unapochukua namba ya simu ya dada na kutoka naye kwa kinywaji au mlo wa mchana au wa jioni, inategemea jinsi alivyo na anavyojiweka lakini kifuatacho ni mzinga.
1) Kioo cha simu yangu kimepasuka au simu yangu imeharibika, sijui nafanyaje?
2) Nimefiwa na babu yangu mkoani, yaani hapa hata sijielewi
3) Kodi yangu ya nyumba imeisha, sijui unanisaidiaje?
4) Naumwa, nimeenda hospitali na nimeshamwona daktari, nimeishiwa hela ya dawa.
5) Kesho ni birthday yangu, hata sijui nafanyaje.
Kama yamekufika na wewe, ongezea yako hapa.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato kwa mdada au wadada unaofahamiana nao na kutoka nao.
Unapochukua namba ya simu ya dada na kutoka naye kwa kinywaji au mlo wa mchana au wa jioni, inategemea jinsi alivyo na anavyojiweka lakini kifuatacho ni mzinga.
1) Kioo cha simu yangu kimepasuka au simu yangu imeharibika, sijui nafanyaje?
2) Nimefiwa na babu yangu mkoani, yaani hapa hata sijielewi
3) Kodi yangu ya nyumba imeisha, sijui unanisaidiaje?
4) Naumwa, nimeenda hospitali na nimeshamwona daktari, nimeishiwa hela ya dawa.
5) Kesho ni birthday yangu, hata sijui nafanyaje.
Kama yamekufika na wewe, ongezea yako hapa.