BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,052
Wakuu Habari zenu
Mimi ninaishi bagamoyo Road huku hii ni barabara yangu ya kila siku kwenda mjini kusaka riziki. Kuna huu mradi wa frem hapa jeshini Lugalo, hizi frem zinaanzia pale mataa ya kawe “Bagamoyo road”kwenda kawe na kwenda mwenge.
Huu ni moja ya mradi wa hovyo sana kwanza umejengwa chini ya kiwango alafu zile frem kama zinaboboka tu. Aliyebuni huu mradi kweli anakili sawa? na pia kama mradi utakamilika utapelekea foleni kubwa sana maeneo yale.
Kwanza mpaka sasa ule mradi umefeli tuseme jeshi lilikurupuka hawakucalculate vizuri. Nature ya eneo kwanza ni ngumu mtu kuingia pale kupata huduma. JKT lugalo mjitathimini upya huu mradi ni wa hovyo ni kama mlikurupuka mnapoteza tu hela pale.
Mimi ninaishi bagamoyo Road huku hii ni barabara yangu ya kila siku kwenda mjini kusaka riziki. Kuna huu mradi wa frem hapa jeshini Lugalo, hizi frem zinaanzia pale mataa ya kawe “Bagamoyo road”kwenda kawe na kwenda mwenge.
Huu ni moja ya mradi wa hovyo sana kwanza umejengwa chini ya kiwango alafu zile frem kama zinaboboka tu. Aliyebuni huu mradi kweli anakili sawa? na pia kama mradi utakamilika utapelekea foleni kubwa sana maeneo yale.
Kwanza mpaka sasa ule mradi umefeli tuseme jeshi lilikurupuka hawakucalculate vizuri. Nature ya eneo kwanza ni ngumu mtu kuingia pale kupata huduma. JKT lugalo mjitathimini upya huu mradi ni wa hovyo ni kama mlikurupuka mnapoteza tu hela pale.