Habari ya Richmond aliisafishaje ikiwa hata kujiulzuru aliambiwa na Kikwete, kwamba ajiuzuru ili asipoteze marupurupu ya uwaziri mkuu staafu ambapo angeyapoteza kama angesubiri kufukuzwa?
Uzalendo wake uko wapi iwapo hadi leo hataki kusema Richmond ni nani na wako wapi?
IKiwa yeye mwenyewe analazimisha kwenda ikulu kwa mlango wa Rushwa na visasi, atakomeshaje rushwa nchini?
Kwanza kwa nini analilia kwenda ikulu huku akifahamu hana sifa na wala hakubaliki? Anataka kwenda ikulu ili nini??
Wakati wa BMK, yeye kama mjumbe ni mchango gani ailiousema kuonesha uzalendo wake na utetezi wa wanyonge wakati Haki za raia zinapokonywa kwa mlango wa pili? Alionyesha uzalendo gani wakati kura zinachakachuliwa? Alionyesha simamo gani wakti tunu za uadilifu, uwajibikaji na uwazi zikipigwa chini kwa nguvu ya ufisadi?
Lowasa na kikwete walikataliwa na nyerere, watanzania wakadharau wakampa kikwete ambaye sasa kila mtanzania kasoro misukule ya ccm, anafahamu ametufikisha wapi. HATURUDII MAKOSA YA KUMPA URAISI LOWASA ILI WAPOKEZANE NA KIKWETE WAKE KWA SABABU WALIKUBALIANA MAPEMA NA NDIYO SABBU YA LOWASA KUPEWA UWAZIRI MKUU KWA KUWA HAWAKUKUTANA BARABARANI. WANATAKA KUPOKEZANA ILI WAZIDI KUTUIBIA NA KULINDANA.
Utajiri wa lowasa hauna maelezo na hayuko tayari kuelezea. Utajiri wa familia ya kikwete hauna maelezo na kifauowongo chao Riziwani kama kawaida ya majizi huwa ni kukataa.
LOWASA MPE URAISI WA UKOO WAKO. TANZANIA HATUMTAKI NA NATAMKA LOWASA URAISI WA TANZANIA HAPATI HADI ANAKWENDA KABURINI. ASAHAU. NA WEE KAMA UNAMTAKA, USITUSEMEE SISI. MTAWAZE AWE KIONGOZI WA FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO. period!.