Lowassa, wananchi wanakuhitaji zaidi ya unavyowahitaji wewe

Lowassa, wananchi wanakuhitaji zaidi ya unavyowahitaji wewe

Kaka Lekakui(nadhani we ni jinsia ya kiume,samahani kama nimekosea)
Unakumbuka wakati JK anaingia ikulu ilisemekana ni chagua la mungu?Nataka nikwambie kuwa JK alikuwa na nia njema sana wakati anaingia ikulu lakini wahafidhina na mapapa ndani ya Chama walimzidi nguvu na kumziba mdomo,system iliyopo ndani ya chama tawala ni kubwa na ina nguvu kumzidi Rais aliyeko madarakani,na kumbuka kuwa hata kama Rais awe vipi hafanyi kila kitu yeye,ana wasaidizi na watendaji na hao ndio wanaomuangusha na ndio kisa JK amekuwa akilalamika kuwa anaangushwa na watendaji,ndani ya Chama tawala hakuna alie msafi hata mmoja,hata mimi nilikuwa na hisia kama zako kuhusu EL ila nikifikiria kwa makini itakuwa Mvinyo mpya kwenye chupa kukuuu.Ili tupate maendeleo stahili inabidi CCM wawe wapinzani,na kwa kuwa wamekaa kwenye system muda mrefu nakuapia watakuwa wapinzani imara sana kuliko CDM,CUF,(UKAWA)wataisimamia serikali ipasavyo.

U might be having a point i respect ua views,but the fact remains kwamba huyu EL ni kiongozi aliyepitia misuko suko mingi sana,na ni mtu anayeijua vizuri sana hii nchi na ni mtu asiyeogopa kufanya maamuzi magumu,i still have faith in him kwamba he is the only person we can really on,hiyo system kwake ni rahisi sana kuisambaratisha kuna vijana wengi sana mtaani ambao wanauwezo mkubwa sana wakipewa nafasi hizo wananweza deliever without any problem sioni shida namuelewa vizuri sana EL and inshalaah atavuka
 
Unahangaika sana ndugu yangu wagonjwa ni kama wakina Marehemu rais Sata,lowassa yuko gado kuliko unavyomfikiria,hayo maneno yenu ni yawaliokata tamaa,but the fact is ufe,ulie,ujinyonge LOWASA Is the NEXT Amiri jeshi Mkuu wa majeshi,usijali tutakualika kwenye inaguration worry not

Lowassa hawezi kupitishwa na CC ya CCM na kuwa kumgombea wa CCM kwenye uchaguzi 2015 hana sifa 13 za uongozi zilizoainishwa kwenye kanuni za Chama cha mapinduzi miongoni mwa sifa hizo ni sifa ya uaminifu na uadilifu huyu bwana hana hivyo mnajidaganya bure na kupoteza muda wenu kwa CC hii makini ya CCM Lowassa hana nafasi haiongeki wala haishawishiki kwa mapesa yake itasimamia ukweli na kutupa mgombea safi na makini kwa maendeleo ya watanzania wote.
 
Wala sio kitu cha kuongea kwa kigugumizi,ndio kiongozi pekee ambaye anaweza kusafisha hii nchi,am sure ndo kiongozi pekee anayeweza ku rescue hii elimu ya tanzania,naamini ndo kiongozi pekee anayeweza vunja mtandao wote wa ufisadi,naamini ndio kiongozi pekee tunayeweza sema NI CHAGUO LA MUNGU
Go baba Go baba Tuko nyuma yako makamanda wako and we pray GOD will give you strength tuweze fika huko

Lowasa ndiyo baba la mafisadi na wala rushwa nchini eti atavunja mtandao wa rushwa acha uongo hakuna kitu kama hicho huyu bwana si mwadilifu wala mwaminifu toka enzi za utawala wa Mwl Nyerere hiyo inajulikana haina ubishi nyie wachumia tumbo mnajua ukweli wa hilo kuleni tu mipesa yake kwa manufaa yenu ila ukweli ni kwamba hafahi kuwa rais wa JMT. TANGU LINI FISADI AKAONDOA UFISADI WAKATI HIYO NDIYO TABIA YAKE
 
Tubadilike watanzania,kwa mataifa yanayojitambia kwa mtu kama EL asingesikika hata kidogo kwenye ulimwengu wa siasa kutokana na ufisadi aloufanya.Tujifunze kuwa na viongozi waadilifu wasio na kashfa ya rushwa yeyote.
Maendeleo ya kweli ya hii nchi ni kubadilisha chama na kuwapa wapinzani
 
mpeni kura mpeni kuraaaa aaaeeee aaaeeeee,....mpeni kura mpeni kura aaaeeeee ..mpeni kulaa aaaa eee kula aeeee
 
lowassa_today.jpg
 
Lowassa hawezi kupitishwa na CC ya CCM na kuwa kumgombea wa CCM kwenye uchaguzi 2015 hana sifa 13 za uongozi zilizoainishwa kwenye kanuni za Chama cha mapinduzi miongoni mwa sifa hizo ni sifa ya uaminifu na uadilifu huyu bwana hana hivyo mnajidaganya bure na kupoteza muda wenu kwa CC hii makini ya CCM Lowassa hana nafasi haiongeki wala haishawishiki kwa mapesa yake itasimamia ukweli na kutupa mgombea safi na makini kwa maendeleo ya watanzania wote.

mbona unahangaika dogo??nakuhakikishia CCM wasipompitisha EL ndo mwisho wa ccm,lowasa is more than CCM
 
Ukweli halisi ni huu hapa wakuu wala msihangaike bure:

Hata kama wapinzani watashinda kwa kupata kura zote hawawezi kuingia magogoni! Magogoni ni kwa ajili ya ccm baasi. Wapinzani baadae sana, sio sasa wakati bado nchi inatawalika. Wapinzani wataingia ikulu pale ambapo nchi haitawaliki lakini si kama ilivyo sasa hv! Niwakumbushe kulalamika lalamika haina maana kuwa nchi haiendi, inaenda sana tu! Si mnakumbuka ishu ya mzee wa vijisenti?Au mmeshamsahau mara hii? Mlilalamaika weeeee lakini juzi kai mzee wa vijisenti ndo anawaandikia katiba! Mpo hapo?

Hii nchi ni ngumu kwa wapinzani!! Kuna mengi hamjui, ila wanajitahidi sana lakini bado kabisa.

Dawa hazipatikani hospitali, wananchi wapo busy na foleni za kuwahi kibaruani kwa wahindi naye rais wao yupo maryland kapumzika kidogo! Mola amjalie afya njema!

Hela za escrow 200bln zinapigwa, wananchi wapo busy na yanga na simba nani mtani jembe!

Nchi bado inatawalika sanaaaaaaaa!! Na kwa hali hii wafuasi wa upinzani endeleeni kuota ndoto zenu za alinacha!
Mkitaka kunielewa jinsi ilivyo ngumu kupenya kwenda kuishi karibu na posta (magogoni) angalieni kwa yanayotokea Syria. Assad kakomaa hatoki ikulu; na ndio maana yake hatoki ikulu ndo habari ya ikulu hio baba/mama!

Sasa nyie ndo muende ikulu kama mnaendeka mlimani city vile kucheki show za akina sitti mtemvu??!! Thubutuuuu!! Acheni utani jamani nyie wapinzani! Sometimes muwe serious walau kidogo! Au mnafikiri ikulu ya Tanzania ni kama ya Burkina Fasso eeeehhhh!!!!! Imekula kwenu wakuu!!

2015 Kidume Edward Lowassa anatinga magogoni rasmi......Asieamini aendelee kuamini hivyo hivyo, Oct 2015 ataelewa ninachokisema hapa!!!!


Jembe Lowassa likiingia ikulu, Tanzania mpya itazaliwa! Unadhani watanzania wanaitaka Tanganyika???? Aaah wapi! System ya nchi ndo imekaa kushoto.....kwa hio wananchi wanatafuta namna ya kukabiliana nayo; yaani ayo ni utanganyika ni mahangaiko tu ya wananchi kukabiliana na mateso ya kiuchumi, kielimu na kiafya na si vinginevyo!

Lowassa akiingia ikulu tu baasi Tanganyika inasahaulika kabisa! Subirini muone!

Mungu iendelee kubariki uwepo wa Lowassa!

Ahsanteni sana wakuu!
Asante mkuu kwa kuwakilisha mawazo ya walio wengi katika nchi hii
 
Ukweli halisi ni huu hapa wakuu wala msihangaike bure:

Hata kama wapinzani watashinda kwa kupata kura zote hawawezi kuingia magogoni! Magogoni ni kwa ajili ya ccm baasi. Wapinzani baadae sana, sio sasa wakati bado nchi inatawalika. Wapinzani wataingia ikulu pale ambapo nchi haitawaliki lakini si kama ilivyo sasa hv! Niwakumbushe kulalamika lalamika haina maana kuwa nchi haiendi, inaenda sana tu! Si mnakumbuka ishu ya mzee wa vijisenti?Au mmeshamsahau mara hii? Mlilalamaika weeeee lakini juzi kai mzee wa vijisenti ndo anawaandikia katiba! Mpo hapo?

Hii nchi ni ngumu kwa wapinzani!! Kuna mengi hamjui, ila wanajitahidi sana lakini bado kabisa.

Dawa hazipatikani hospitali, wananchi wapo busy na foleni za kuwahi kibaruani kwa wahindi naye rais wao yupo maryland kapumzika kidogo! Mola amjalie afya njema!

Hela za escrow 200bln zinapigwa, wananchi wapo busy na yanga na simba nani mtani jembe!

Nchi bado inatawalika sanaaaaaaaa!! Na kwa hali hii wafuasi wa upinzani endeleeni kuota ndoto zenu za alinacha!
Mkitaka kunielewa jinsi ilivyo ngumu kupenya kwenda kuishi karibu na posta (magogoni) angalieni kwa yanayotokea Syria. Assad kakomaa hatoki ikulu; na ndio maana yake hatoki ikulu ndo habari ya ikulu hio baba/mama!

Sasa nyie ndo muende ikulu kama mnaendeka mlimani city vile kucheki show za akina sitti mtemvu??!! Thubutuuuu!! Acheni utani jamani nyie wapinzani! Sometimes muwe serious walau kidogo! Au mnafikiri ikulu ya Tanzania ni kama ya Burkina Fasso eeeehhhh!!!!! Imekula kwenu wakuu!!

2015 Kidume Edward Lowassa anatinga magogoni rasmi......Asieamini aendelee kuamini hivyo hivyo, Oct 2015 ataelewa ninachokisema hapa!!!!


Jembe Lowassa likiingia ikulu, Tanzania mpya itazaliwa! Unadhani watanzania wanaitaka Tanganyika???? Aaah wapi! System ya nchi ndo imekaa kushoto.....kwa hio wananchi wanatafuta namna ya kukabiliana nayo; yaani ayo ni utanganyika ni mahangaiko tu ya wananchi kukabiliana na mateso ya kiuchumi, kielimu na kiafya na si vinginevyo!

Lowassa akiingia ikulu tu baasi Tanganyika inasahaulika kabisa! Subirini muone!

Mungu iendelee kubariki uwepo wa Lowassa!

Ahsanteni sana wakuu!

Nakubaliana sana na wewe mkuu.
Bado swali langu halijajibiwa. CCM na NEC yao watamuweka kwenye list?
Au watamchinjia baharini baada ya kumuweka kwenye list ili wamtumie Pinda ambaye inasadikiwa amewekwa kimaslahi zaidi na sio kuchapa kazi?
 
Nakubaliana sana na wewe mkuu.
Bado swali langu halijajibiwa. CCM na NEC yao watamuweka kwenye list?
Au watamchinjia baharini baada ya kumuweka kwenye list ili wamtumie Pinda ambaye inasadikiwa amewekwa kimaslahi zaidi na sio kuchapa kazi?
2005 CC na kamati ya maadili ilimpinga sana JK. wakina Sozigwa waliandika kitabu kizima kuhusu JK ila at last alitoboa na leo hii ni rais wa awamu ya 4
 
Unahangaika sana ndugu yangu wagonjwa ni kama wakina Marehemu rais Sata,lowassa yuko gado kuliko unavyomfikiria,hayo maneno yenu ni yawaliokata tamaa,but the fact is ufe,ulie,ujinyonge LOWASA Is the NEXT Amiri jeshi Mkuu wa majeshi,usijali tutakualika kwenye inaguration worry not

gado=ugonjwa wa kutetemeka (parkinson's)?
Wewe Lekakui huujui ugonjwa huu hatari wa neva uitwao Parkinson's unaomsumbua Lowassa.Wewe unasema Satta ndiye
alikuwa mgonjwa? Tumia muda wako kumwombea Lowassa apone ugonjwa huu hatari badala ya kumnadi eti ni rais afaaye nchi hii! Kwa nini unamtakia Lowassa mabaya?
 
Last edited by a moderator:
Wala sio kitu cha kuongea kwa kigugumizi,ndio kiongozi pekee ambaye anaweza kusafisha hii nchi,am sure ndo kiongozi pekee anayeweza ku rescue hii elimu ya tanzania,naamini ndo kiongozi pekee anayeweza vunja mtandao wote wa ufisadi,naamini ndio kiongozi pekee tunayeweza sema NI CHAGUO LA MUNGU
Go baba Go baba Tuko nyuma yako makamanda wako and we pray GOD will give you strength tuweze fika huko

Ni kweli kabisa.
 
2005 CC na kamati ya maadili ilimpinga sana JK. wakina Sozigwa waliandika kitabu kizima kuhusu JK ila at last alitoboa na leo hii ni rais wa awamu ya 4

ocampo four nasubiri na hilo nalo litimie kwa Lowassa. Tusubiri kwa macho tuone.
Lowassa anahitajika sana hata na mashabiki wa Chadema. Sipati picha CDM watakavyoisaliti kambi yao siku ya kupiga kura na kuchagua kivuli cha Lowassa na kumuacha Slaa ze Daktari
 
Kama Lowasa kweli ni mzalendo kwanini asituambie nani alikua nyuma ya Scandal ya Richmond

uwe na amani, Mambo mengine ni usalama wa kitaifa. Mama kafumaniwa na mme wa mtu na amapigwa na kujeruhiwa sana, watoto wanakazana kuuliza mama kafanaya nini? kapigwa, na nani? na watu,amekosa nini?... haya wewe kama baba na una maadili na unawapenda watoto wako jibu basi kwa jibu sahihi!
 
Baada ya kusoma Title na ID ya mwenye maada, sikuona sababu ya kusoma posting yote. Muda ni mali. Kitu cha mwisho Tanzania inahitaji ni EL kuwa Rais wa Tanzania. GOD forbid! The best way to predict the future is to create it !
 
Umeungua kwa nini kama ni wa kipuuzi,endelea na shughuli zako dogo acha wenye mapenzi mema na nchi hii wauchangie wewe kalale zako,usubiri kubeba sembe yako kwani mwaka huu ndo mwisho Lowasa akishaingia hapo magogoni,biashara yenu pia inaishia hapo hapo
Umevurugwa ww si bure..
 
Back
Top Bottom