Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,963
DUUU KWELI TUMEICHOKA TZ, FUJO ILEEEEE NAIONA. Ee Mungu utuokoe na huyu SHETANI!!!!
Fujo kwa kuikataa ccm???!. Au unamaanisha nini???!. Waacheni watu waamue wa kuwaongoza
DUUU KWELI TUMEICHOKA TZ, FUJO ILEEEEE NAIONA. Ee Mungu utuokoe na huyu SHETANI!!!!
mr bantulile, Jf si kama chombo chadema kama unavyodhani, Hapa kuna mkusanyiko wa watu wote kama hivi unavyoona, wewe ni ccm na upo hapa, tatizo ni kwamba ni dalili za kushindwa ndo zinawafanya mjifiche,
kwa maana unayoipeleka ukisema Jf ni kama chombo cha chadema ni sawa na kusema Tanzania ni chombo cha Ccm kitu ambacho hakipo
Kwani ikulu ni mochwari?
pombe kilabuni,makufuli mlangoni lowassa magogoni
Pamoja tukiwa na Mungu tutashinda