youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
wanajaribu kutengeneza goli la mkono
kwa mwaka huu hawalipati, labda wajifunge wenyewe.
wanajaribu kutengeneza goli la mkono
mkuu angalia hata hii post, views ni 124 wakati comment na like hazizidi hata 15, maana yake wengi wameangalia na kupita, hao ndo ccm, ndo maana nasema msije mkayakataa matokeo maana mnadhani kura ni maneno.
Wote wakina na ajira. Mnaowafata wawaandikie CV wataishije?
Mkuu nakushauri u cheki malaria kabla jua halijazama(HATARI)
Vitendo vyao ni hivi
uzi ndio kwanza bado mpyaa, mfa maji wewe
Mnaosema Lowassa Hawezi kushinda ina maana hata dalili hamzioni? au ndo ushabiki tu unawasumbua?
Ebu Angalia Tu Hata Kwa Hii Thread Ccm Watapita Wangapi?
Kuna vijana wa IT walipelekwa china mwezi machi kwa kazi hiyo pia.Dawa kupiga kura kuzilinda kuhesabu hapo hapo kituoni.Tusikubali masanduku yabebwe kupelekwa wilayani