Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Je itakuwa bora kwa Chadema kuwa na uongozi mpya kabisa kuelekea Uchaguzi Mkuu au kubadilishana vyeo mbalimbali kwa sababu mabadiliko yoyote yatakayofanyika wakati huu ndiyo yataamua Chadema inafanya nini kuelekea 2010.