Hahaha zuzu yule dada aisee, yy kazi yake ni kumuosha JK hata km haosheki, cjui amempa nn aisee!
Ukiwa zuzu ni zuzu tu hata aje nani utabaki kuwa zuzu tu.
Sasà huyu dini ndiyo imemtawala zaidi kwahiyo hata mtu akifanya madudu gani so long ni wa dini yake basi kwake ni mtu mzuri na anyefanya kazi vizuri