Bajeti hewa ungeyaona maendeleo?
kabla ya ujio wa Kikwete ilikuwa kwenda Mwanza tu kutokea Dar mpaka upite Kenya, leo yapo hayo na aliyesimamia utekelezaji ni huyo huyo Magufuli.
nenda kaitazame Muhimbili leo, kabla ya ujio wa Kikwete mlikuwa mkiumwa moyo kama huna fedha unakufilia mbali, leo unatibiwa Muhimbili, jengo jipya, vifaa vipya, wataalaam wapya na bado shughuli inaendelea, na magufuli anasema ataendeleza na kuhakikisha kila mkoa una hospitali ya rufaa, kila wilaya inaunganishwa kwa lami, kila mwanafunzi kusoma bure, kila kia kupatiwa ajira kwa kuongeza w=viwanda.
Lowassa kasema atafanya nini? Zaidi ya porojo za dakika mbili tatu anazoongea?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?