Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

Unawezaje kujua unatakiwa kufanya nini bila kujua ni kwa kiwango gani na waitaji ni kiwango gani?unajua maana ya takwimu?

ikiwa ccm ni bingwa wa takwimu je! Unaweza kueleza zimelisaidiaje taifa? Kuondokana

maadui wa tatu
1 - ujinga
2 - maradhi
3 - umaskini

jibu tafadhali.
 
Lowassa amesahau kuwa hiyo ni sera ya Jakaya toka anakamata madaraka, tulikuwa tunategemea wahisani kwa asilimia 69 ya bajeti alipochukuwa madaraka, bajeti ya mwaka huu ni asilimia 8% tu na ya mwakani tulishatangaza, itakuwa ni yetu 100%.

Huyo Mzee ana ugonjwa wa kusahau na ni muongo wa asili.
 
lowassa na ccm ni nani mwana maigizo? Taifa kwa miaka 50 limeshindwa kuondokana na utegemezi?

Sasa kati ya lowassa na ccm ni nani mwana maigizo? Tumia akili kijana wacha ushabiki.

Taifa lina angamia tembo wanatoweka. Twiga wanapanda ndege?

Madini.milima.mbuga za wanyama.gesi. Na nyinginezo nyingi lakini bado taifa ni omba omba?

Narudia tena. Nitamtafutia lowassa kura usiku na mchana. Atuondolee aibu ya kuwa taifa omba omba.

Lowasa ndo mwanacomed kama ifuatavyo
1,lowasa. Miaka35 ndani ya serikali.
2,na ccm miaka 50,madarakani
Chukua ya ccm to a ya lowasa ndo utajua maigizo yake
 
Lowassa amesahau kuwa hiyo ni sera ya Jakaya toka anakamata madaraka, tulikuwa tunategemea wahisani kwa asilimia 69 ya bajeti alipochukuwa madaraka, bajeti ya mwaka huu ni asilimia 8% tu na ya mwakani tulishatangaza, itakuwa ni yetu 100%.

Huyo Mzee ana ugonjwa wa kusahau na ni muongo wa asili.
Bajeti ambayo inapelekwa asilimia 24 kwenye miradi na matumizi mengineyo kwa mwaka mzima alafu unasifia? Kumbuka hiyo 24% ni hela za ndani na za wahisani, nchi hii kwa namna inavyoongozwa na CCM ......
Tukubali mabadiliko nje ya CCM ujivunie Utanzania wako.
 
Lowassa amesahau kuwa hiyo ni sera ya Jakaya toka anakamata madaraka, tulikuwa tunategemea wahisani kwa asilimia 69 ya bajeti alipochukuwa madaraka, bajeti ya mwaka huu ni asilimia 8% tu na ya mwakani tulishatangaza, itakuwa ni yetu 100%.

Huyo Mzee ana ugonjwa wa kusahau na ni muongo wa asili.

bajeti ya maneno? Ivi unajua kwa zaidi ya miaka yote bajeti inayoletwa bungeni ni hewa?

Kama nchi sio tegemezi Bwana mkubwa kila siku kwanini anatembeza bakuli kwa waisani?

Hata fedha za uchaguzi nazo nasikia tumepewa na waisani? Nchi tajiri kama Tanzania?

Ama kweli kuna mtu ametuloga watanzania. Katikati ya utajiri wa kutisha tunatembea kwa kupapasa kama vipofu?
 
Bajeti ambayo inapelekwa asilimia 24 kwenye miradi na matumizi mengineyo kwa mwaka mzima alafu unasifia? Kumbuka hiyo 24% ni hela za ndani na za wahisani, nchi hii kwa namna inavyoongozwa na CCM ......
Tukubali mabadiliko nje ya CCM ujivunie Utanzania wako.
Siwezi kumvisha koti LA mabadiriko MTU ambaye amekaa bungeni miaka 7akiwa bubu adi roho inaniuma kama si mzarendo wa kweli,
 
bajeti ya maneno? Ivi unajua kwa zaidi ya miaka yote bajeti inayoletwa bungeni ni hewa?

Kama nchi sio tegemezi Bwana mkubwa kila siku kwanini anatembeza bakuli kwa waisani?

Hata fedha za uchaguzi nazo nasikia tumepewa na waisani? Nchi tajiri kama Tanzania?

Ama kweli kuna mtu ametuloga watanzania. Katikati ya utajiri wa kutisha tunatembea kwa kupapasa kama vipofu?

Hatujalogwa aliyelogwa ni lowasa miaka 7 bubu bungeni,Leo hii eti anajipya kama sio mnafiki
 
Lowassa amesahau kuwa hiyo ni sera ya Jakaya toka anakamata madaraka, tulikuwa tunategemea wahisani kwa asilimia 69 ya bajeti alipochukuwa madaraka, bajeti ya mwaka huu ni asilimia 8% tu na ya mwakani tulishatangaza, itakuwa ni yetu 100%.

Huyo Mzee ana ugonjwa wa kusahau na ni muongo wa asili.

Wewe unajua hiyi serekali yako huwa inafikia badget kwa kiasi gani? miaka yote bedget haijafikiwa hata kwa 50%. sasa unapomsifikia Kikwete kwa kurubuni wa Tanzania
 
Lowasa ndo mwanacomed kama ifuatavyo
1,lowasa. Miaka35 ndani ya serikali.
2,na ccm miaka 50,madarakani
Chukua ya ccm to a ya lowasa ndo utajua maigizo yake

hapa ndio unathibitisha kwamba ni ugonjwa wa ushabiki unakusumbua kijana.

Lowassa alianza kutumika katika na fasi ya uwaziri kuanzia miaka ya 90 na aliondoka serikalini tangu 2008

sasa iyo miaka 35 unaipata wapi?

Magufuli amekua serikalini takribani miaka 20 akiudumu kama waziri alishindwa nini kufanya ayo anayukuja kuaidi leo?

Ikiwa jk alimwona anafaa na ni tinga tinga kwanini hakumteua kuwa waziri mkuu kwenye serikali yake?


Ikiwa leo anasema magufuli ni jembe. Magufuli ni mkali kwanini asinge mtumia kama waziri Mkuu?


Jiulize aya maswali kijana wacha ushabiki usio na mashiko.
 
Huyu MZEE anatufanya wajinga sisi,hata akili take ya kusain mikataba ya gesi na kuisoma na kuielewa hawezi Leo hii eti yes IPO .ndo maana slaa alisema wampime akili,
 
Watanzania ni mda wa kujitambua na kuachana na story xa ccm ebu tujaribuni na kwingine hivyo kura zote ni kwa lowasaaaa

Kura yangu sio ya majaribio, nitampa kura yangu yule ambae namuona atatimiza ndoto zangu mimi mpiga kura, Kampeni anamtegemea Rostam Azizi sembusr hiyo serikali…!!
 
Tatizo watanzania hatupendi kuthubutu!tatizo elimu hamna.ndo maana kila kitu tunaona hakiwezekani kanone usipotoshe watuuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom