TangaNyika_TZ
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 239
- 52
Mapovu na msongo wa itikadi zilezile
chakavu, kwa watu walewale, kwisha habari fisiem.
chakavu, kwa watu walewale, kwisha habari fisiem.
Wewe wacha porojo, tulikotoka ilikuwa asilimia 60% na yeye Lowassa akiwemo kwenye serikali. Leo Kikwete kaishusha mpaka asilimia 8 tu, na ukitazama rikodi ya mwaka jana na juzi zaidi ya pesa nusu wahisani hawajatowa, ina maana hiyo nane inaweza kuwa 4% tu au NIL.
Isitoshe, mwakani kuna kila uwezekano 100% zikawa ni pesa zetu wenyewe, hilo limeshasemwa tena bungeni. Uko wapi wewe? Umelala?
Hapo mamvi kama kawa, kawadanganya wapumbavu na malofa.