Hivi Lowassa hachoki kuporomosha mapati? kila kikao cha bunge ni lazima aandae sherehe? anasherehekea nini wakati tunakabiliwa na tatizo la njaa? amenishangaza kwa kufanya tafrija ya kupanga mikakati na madereva wa ofisi ya waziri mkuu. hii ni baada ya miezi sita toka ateuliwe!!
Mwalimu Nyerere alituonya kwamba kama tunampenda Lowassa basi tukanywe naye chai[tafrija/party], lakini uongozi HAFAI. Pesa wanazotupa kwenye starehe zingeweza kununulia madawati na chaki. Bora ya Sumaye aliyekuwa akiutikwa mtindi kama kinyamkera lakini peke yake.
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-5.html
Tafrija ya kufahamiana na kupanga mikakati. Imefanyika miezi sita baada ya kuteuliwa!!!
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-28.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-45.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-114.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-221.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-231.html
Mwalimu Nyerere alituonya kwamba kama tunampenda Lowassa basi tukanywe naye chai[tafrija/party], lakini uongozi HAFAI. Pesa wanazotupa kwenye starehe zingeweza kununulia madawati na chaki. Bora ya Sumaye aliyekuwa akiutikwa mtindi kama kinyamkera lakini peke yake.
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-5.html
Tafrija ya kufahamiana na kupanga mikakati. Imefanyika miezi sita baada ya kuteuliwa!!!
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-28.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-45.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-114.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-221.html
http://www.kikweteshein.com/kikwete/displayimage-6-231.html