Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,690
- 26,568
Hiyo kauli ameitoa wapi na lini?
Rais wako...aliyemfunga ye nani....
why not..
umesahau kuwa kuna msamaha wa rais?
nayo n sera..
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakamu kuu ya tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania.
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakamu kuu ya tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania.
Siyo babu seya tu wale majambazi sugu,wauza madawa wote atawato maana ndiyo ishu zake.Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakamu kuu ya tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania.
Duh..hata kama ni kweli aliibiwa..mie hata nichapiwe siwezi kuwa na chuki za aina hii
Kama babu seya aliingizwa kwa magumashi, atatolewa kwa magumashi!
msamaha kwa mbakaji watoto....?!!
Babu seya alikuwa ni mburudishaji wa jamii, na alifungwa kwa mizengwe kisa alikuwa anaugonga mchepuko wa MSHUA wake na ritz. Rais mpendwa ndugu Lowasa atamtoa msanii wetu wa ukweli
Lowassa ni mgonjwa anajisemea hovyo. Kinachofanya kazi ni pesa zake na si yeye.
Lowassa ni mgonjwa anajisemea hovyo. Kinachofanya kazi ni pesa zake na si yeye.
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakamu kuu ya tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania.