Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,576
Babu seya hakuwahi kubaka, kosa lake kubwa alikuwa anaugonga mchepuko wa Mshua le profeser.
mbona hukuenda kumtetea upande wa mashahidi wa mshitakiwa? acheni u opportunist .
Babu seya hakuwahi kubaka, kosa lake kubwa alikuwa anaugonga mchepuko wa Mshua le profeser.
pia amtoe sheikh ponda.lakini kwa jinsi nilovyoiona cv ya lowassa katika wikipedia,nadhani atawatoa watu wengi magerezani. Wewe you are shocked kusikia mtu anataka kuwaweka huru wafungwa. But we grew up listening to malcolm x. Tunawachukia polisi na polisi wanatuchukia.
Babu seya hakuwahi kubaka, kosa lake kubwa alikuwa anaugonga mchepuko wa Mshua le profeser.
Amtoe yeye nani!
Pia amtoe Sheikh Ponda.Lakini kwa jinsi nilovyoiona CV ya Lowassa katika Wikipedia,nadhani atawatoa watu wengi magerezani. Wewe you are shocked kusikia mtu anataka kuwaweka huru wafungwa. But we grew up listening to Malcolm X. Tunawachukia polisi na polisi wanatuchukia.
Kichaa huyu...Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakamu kuu ya tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania.
...mzee unatuaibisha bhana, msomi yeyote hawezi ku rely na taarifa za huu mtandao kama chanzo cha kuamika....Pia amtoe Sheikh Ponda.Lakini kwa jinsi nilovyoiona CV ya Lowassa katika Wikipedia,nadhani atawatoa watu wengi magerezani. Wewe you are shocked kusikia mtu anataka kuwaweka huru wafungwa. But we grew up listening to Malcolm X. Tunawachukia polisi na polisi wanatuchukia.
na hiyo nayo ni sera?
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakamu kuu ya tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania.
tukisema watanzania mazuzu watu wanabisha, sasa hiyo ndiyo sera ya kuwaambia watanzania waliokata tamaa ya maisha.
Uwongo huo.Rais ana mamlaka ya kumtoa mfungwa yeyote gerezani
Nasikia kikwete ameagiza babu seya na mwanaye wabadilishiwe mashitaka ili isiwe rahisi kusamehewa kwa msamaha wa rais ajaye!!!!
Kilichomfunga babu seya edo anakijua vyema ndio maana kasema kwa kujiamini