Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
why not..
umesahau kuwa kuna msamaha wa rais?
nayo n sera..
msamaha kwa mbakaji watoto....?!!
why not..
umesahau kuwa kuna msamaha wa rais?
nayo n sera..
Mwezi WA kumi naona mbali jamani looh
Kilichomfunga babu seya edo anakijua vyema ndio maana kasema kwa kujiamini
huko sasa ukisikia ndio kutokuwa na sera. Hivi ishu ya babu seya ilisimamiwa vizuri na tamwa mpaka ushahidi kukamilika anataka kusema wale watetezi wote wa haki za watoto na jinsia walitudanganya? By the way, hiyo ni ilani ya uchaguzi ya chama kipi kati ya vinavyounda ukawa?
ilani ya wanya viroba na wavutaji cha arusha
ilani ya wanya viroba na wavutaji cha arusha
weka ushahido or rather shutupbabu seya alikuwa ni mburudishaji wa jamii, na alifungwa kwa mizengwe kisa alikuwa anaugonga mchepuko wa mshua wake na ritz. Rais mpendwa ndugu lowasa atamtoa msanii wetu wa ukweli
msamaha kwa mbakaji watoto....?!!