abby the great
Member
- Jul 11, 2015
- 25
- 4
Poleni jaman, naona siku hizi kila kinachoongelewa ni kumeza tu... vijana wanashindwa kufikiria wala kuchuja dah mtaendelea kuitwa wapumbav na malofa kwa sababu ya ulimbuken wetu... kuna kitu mumepandikizwa si bure
we mwenyewe ni miongoni mwa hao wapumbavu na malofa.