Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,091
Alitamka hayo akiwa iringa,Nitafuta misamaha yote ya kodi,Mara nitakapoingia ikulu na kuhakikisha bandari yetu inafanya kazi KWA SAA 24.
Nitafanya kazi na wananchi wangu bega kwa bega! hapa hapa,
Nitapunguza gharama za safari za nje KWA 90%
Sitaki kuona hats shilingi moja inapotea katka bandari yetu!
Tutakaa chini pamoja NA mabenki yetu kuona jinsi tutakavyoweza kupunguza riba na jinsi tutakavyoweza kurahisi mikopo ili kila mtanzania aweze kukopa benki katika kipindi kisichozidi Sikh 45--60,
***hakika amenigusa sana ndg Edo!
Nitafanya kazi na wananchi wangu bega kwa bega! hapa hapa,
Nitapunguza gharama za safari za nje KWA 90%
Sitaki kuona hats shilingi moja inapotea katka bandari yetu!
Tutakaa chini pamoja NA mabenki yetu kuona jinsi tutakavyoweza kupunguza riba na jinsi tutakavyoweza kurahisi mikopo ili kila mtanzania aweze kukopa benki katika kipindi kisichozidi Sikh 45--60,
***hakika amenigusa sana ndg Edo!