Lowassa: Nimeshawishika, Nitagombea urais...!

Lowassa: Nimeshawishika, Nitagombea urais...!

Pigeni kelele tu mwezi wa kumi na moja anahapishwa kuwa rais, lowasa is unstopable

Wewe ungekuwa ni Mungu sawa, lakini mimi ninajua kabisa MUNGU NI FUNDI atatuokoa na janga hili na hatutakuwa na Lowasa kama rais.
 
Bora mara 2000000 ccm wampitishe Wassira kuwa mgombea wa uraisi kupitia ccm kuliko kumpitisha Lowasa.lakini sisi wananchi tunaamini raisi ajaye atatoka nje ya ccm.
 
Jifanye tu kipofu, hauziki wakati unaona kila kona ni Lowassa tu..... Ngoja nikutumie ripoti ya chama na ripoti ya usalama mwezi wa january manake ile ya Twaweza mlisema kachakachua
mbona umekimbia mnakula pesa za bure za huyu fisadi wakati mnajua hana sifa za kugombea uraisi wa Tanzania labda uraisi wa manzese akagombee na Made
 
Pole sana, na upeo wangu ndogo nafahamu kwamba presidential aspirant yeyote ana uhuru wa ku-raise na kutumia pesa kutafuta support.
Pia nafahamu si nyerere wala mzimu wake wenye moral or political authority ya kutuchagulia uongozi. That's our judgement to make. Its our collective will, we baki na rhetoric ya nyerere alikataa. You are still chained to the past, nikuongeze upeo.

Edward Lowassa Tanzania President 2015....
 
Huyu bwana anatupa mashaka maana anatumia nguvi nyingi sana kutaka kuingia Ikulu.

Ninawashangaa sana wanaomuunga mkono huyu bwana bila kujiuliza ana nia gani hasa na hii nchi.

JK aliingia ikulu kwa kutumia nguvu kidogo?
 
Huyu anaonyesha ameshachukua fedha nyingi ndani na nje ya nchi kwa ahadi ya kurudisha fadhila atapopata uraisi, kwahiyo hakuna njia atauacha na inaonyesha kuna vikundi vya mafisadi vya kimataifa ambavyo vipo nyuma yake vinataka kunufaika na Uraisi wake atapoupata.
 
Pole sana, na upeo wangu ndogo nafahamu kwamba presidential aspirant yeyote ana uhuru wa ku-raise na kutumia pesa kutafuta support.
Pia nafahamu si nyerere wala mzimu wake wenye moral or political authority ya kutuchagulia uongozi. That's our judgement to make. Its our collective will, we baki na rhetoric ya nyerere alikataa. You are still chained to the past, nikuongeze upeo.
una mawazo mgando kama akili yako lakini tambua unayempigia debe kuwa raisi unapoteza muda wako watanzania wanataka kiongozi mwadilifu siyo fisadi kama huyu unayempigia debe humu JF
 
Jamani huko CCM hakuna zaidi ya Lowassa,jaribuni kuweka mwingine muone UKAWA watakavyopita kilaini.
 
mbona umekimbia mnakula pesa za bure za huyu fisadi wakati mnajua hana sifa za kugombea uraisi wa Tanzania labda uraisi wa manzese akagombee na Made
Wewe wasema hana sifa?!!! Lowassa ndo Rais wa awamu ya 5.
Ingekuwa wapiga kura ni wa mijini tu tena miji iliyojaa wachaga basi Rais angetoka nje ya CCM.
Mchawi aliyewaroga cdm kafwa manake hawaoni kuwa timuatimua inawamaliza, hv hawaoni kuwa Chama hakina makamu MWENYEKITI?
 
Wewe wasema hana sifa?!!! Lowassa ndo Rais wa awamu ya 5.
Ingekuwa wapiga kura ni wa mijini tu tena miji iliyojaa wachaga basi Rais angetoka nje ya CCM.
Mchawi aliyewaroga cdm kafwa manake hawaoni kuwa timuatimua inawamaliza, hv hawaoni kuwa Chama hakina makamu MWENYEKITI?
raisi wa ukoo wenu labda
 




Tazama hapa anavyoongea kwa nguvu sana na hand gestures zinatumika



Leo ata kutikisa kichwa awezi let alone using hand gestures; uhitaji kuwa karibu naye kujua afya yake mgogoro.
 
Last edited by a moderator:
mbona umekimbia mnakula pesa za bure za huyu fisadi wakati mnajua hana sifa za kugombea uraisi wa Tanzania labda uraisi wa manzese akagombee na Made
Wewe wasema hana sifa?!!! Lowassa ndo Rais wa awamu ya 5.
Ingekuwa wapiga kura ni wa mijini tu tena miji iliyojaa wachaga basi Rais angetoka nje ya CCM.
Mchawi aliyewaroga cdm kafwa manake hawaoni kuwa timuatimua inawamaliza, hv hawaoni kuwa Chama hakina makamu MWENYEKITI?
 
Back
Top Bottom