Jifanye tu kipofu, hauziki wakati unaona kila kona ni Lowassa tu..... Ngoja nikutumie ripoti ya chama na ripoti ya usalama mwezi wa january manake ile ya Twaweza mlisema kachakachua
Waziri mkuu aliejiuzulu,Edward Lowassa, ametangaza rasimi nia yake ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM baada ya kuombwa kufanya hivyo na masheikh wapatao 50 kutoka Bagamoyo ambao pia walimkabidhi sh 700,000 kwa ajili hiyo.
Chanzo:Magazti Channel 10
My take:
Mbinu hizi anazotumia Lowassa ndio zitakazommaliza maana nina hakika wenzake ndani ya chama hawazipendi ingawa si kosa na ni utamaduni wa muda mrefu tu.
Kwa kweli,hii nchi yetu inatakiwa kuingia kwenye maajabu ya ulimwengu,iweje mtu aliyeushndwa uwazir mkuu na akajiuzulu,leo tumuamini na tumpe dhamana ya kuwa rais wetu jamani?