nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
haa haa mkuu au kundi la wanajimu na watabiri mkuuSina Hakika Kama Hao Ni Masheikh Kweli Bali Nimepata Taarifa Kuwa Hao Ni Waganga Wake Maarufu Aliokuwa Nao Semina Elekezi Bagamoyo.
haa haa mkuu au kundi la wanajimu na watabiri mkuuSina Hakika Kama Hao Ni Masheikh Kweli Bali Nimepata Taarifa Kuwa Hao Ni Waganga Wake Maarufu Aliokuwa Nao Semina Elekezi Bagamoyo.
Bagamoyo kuna kitega uchumi gani hadi masheikh wapate laki 7 za kumpa lowassa
huwezi jua mkuu, inawezekana wamechanga waumini wao kwenye misikiti.Bagamoyo kuna kitega uchumi gani hadi masheikh wapate laki 7 za kumpa lowassa
Nape Nnauye hana kauli tena tangu Kinana amkaripie, kwa kifupi ni kwamba Kinana kamwambia Nape Nnauye aache kumwandama Lowasa kwakua ndio choice pekee ya chama.Tusubiri kauli ya Nape...sasa lowasa kasema kama wengine ambao hawajafungiwa, je akaongezewa adhabu?
Nashangaa watu wanalia fisadiii fisadi nani sio fisadi? mpinzani gani ni msafi? ndani ya sisiem yenyewe nani msafi? raia wenyewe nani msafi? sasa tufanyeje hapo si afadhali fisadi atakayechapa kazi kuliko fisadi atakayekaa ikulu akichapa usingizi kungojea migao; waswahili walisema heri nusu shari kuliko shari kamili.Hakuna ndani ya CCM kwa sasa mwenye ubavu wa kumzuia EL pamoja na mabaya yake. Hata mwenyekiti "wetu" pale magogoni inavyoelekea "kaufyata" na hana namna ya kumzuia. Kwa kifupi EL na timu yake wamewazidi ujanja........kina Mangula wao wanahangaika na wapinzani lakini tayari wameunguza vidole.....ukifuatilia sana sababu ya hilo "dili" kumbumbuluka unawaona EL na timu yake kwa mbaaali!
Bagamoyo kuna kitega uchumi gani hadi masheikh wapate laki 7 za kumpa lowassa
Huyu jamaa hafai hata kidogo
Lakini hata sasa hivi wapo watu wanakula nyasi!
Alafu kawanunua mashekh wa bagamoyo kisha anamsingizia Prof; Dr; Jakaya M. Kikwete eti ndiye kamtumia ujumbe mzito wa hao mashekh. Mbinu chafu hizo na ni kumsingizia mhe. Rais
kwani tunajua mhe. Rais hajafanya hivyo
Ama kweli wajinga ndio waliwao! Fufuka Nyerere uone madudu wayafanyayo hawa watoto wa nchi yako yenye mafisadi wanaoshangiliwa, wanapeana vyeo ili kulindana ktk wizi wa mapesa! Ikulu kuna nini jamani!?
Ndo kusema Membe sio chaguo la mzee? Nilinde nitakulinda.hao masheikh kweli walitumwa na mzee? Sitaki kuamini mimi kama mzee amefanya hivyo.
Hivi NEC haiwezi kumpiga chini mzee Motika? Je huyo ni mwema kuliko mtoto wa mkulima au magufuli au basi Professor? Mtikila komaa utapata bila chama maana hao wapinxani wako ni wepesi sana kama uzito wa unyoya ikiwa hawatscheza mbinu mbaya.
Pigeni kura tu muiangamize nchi ya Nyerere kisha laana ya umasikini itatanda kwa miaka mingine 10 mbele yetu.
Nchi ya watu wadogo!
ha ha ha ha..............!!!!!!!!!!!!!!!!Anausaka urais kwanguvu zote huyu jamaa kias ananipa mashakha anataka kutufanyia nn watz !!!
haa haa duh.Nashangaa watu wanalia fisadiii fisadi nani sio fisadi? mpinzani gani ni msafi? ndani ya sisiem yenyewe nani msafi? raia wenyewe nani msafi? sasa tufanyeje hapo si afadhali fisadi atakayechapa kazi kuliko fisadi atakayekaa ikulu akichapa usingizi kungojea migao; waswahili walisema heri nusu shari kuliko shari kamili.
Hivi lowasa akiwa rais nchi hii itakuwa ya rostam, karamagi, mo, itabaki miffupa, ee Mungu tuondolee balaaView attachment 236644
Katika Kurasa za magazeti ya Leo zimepambwa na tarifa mbambali za kurasa za mbele za magazeti zinaonyesha dhahiri Edward Lowassa kukubali kugombea Urais, Okello nimelifuatia suala hili kwa karibu mengi nimeyapata kutoka kwa Mashekh wa Bagamoyo. Ni ukweli dhahiri upande wa Jakaya katika dhamira yake ya dhati ni kumkabidhi Edward Lowassa ikulu ya magogoni.
Mengi katika vipaumbele vya ujumbe wa Jakaya katika ni kuhakikisha Edward Lowassa anaendeleza Yale ambayo ameyaacha ikiwemo elimu, Afya bora, miundombinu na kufuta umaskini kwa Watanzania wote.
Kumejitokeza makundi mbali mbali yakimtaka kugombea Urais, yeye binafsi amesema anafarijika kuona Watanzania wanasimama nae katika hili, mbali historia ya uongozi wake uliotukuka basi hii nafasi ya Watanzania kumuomba atangaze nia inampa nguvu hasa Dk. Jakaya kumtumia ujumbe mzito.
MAAMUZI NA MATUMAINI MAPYA NA EDWARD LOWASSA 2015.