Lowassa: Nimeshawishika, Nitagombea urais...!

Lowassa: Nimeshawishika, Nitagombea urais...!

Taarifa zilizopo ni kwamba hata hizo shilingi 700,000 amezitoa yeye mwenyewe

mcjali maana wengne wakiombwa mpo kimya, ila rais wa watanzania 2015 akifatwa na watu wenyekulitakia taifa mema mnaanza majungu. Ila mimi nnacho jua ni kwamba rais wa 2015 watanzania wote wanamjua na kumhitaji kwa maendeleo ya Taifa la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na si mwingne zaidi ya mwamba wa kaskazini, simba wa taifa, shujaa wa taifa na mzalendo asilia MH EDWARD NGOYAI LOWASSA. wapinga maendeleo ya nchi lazma wampinge sana ila huwezi zuia mwanga wa jua na kiganja cha mkono
 
Huyu asahau habari ya urais!! Ajiandae kufa kwa presha!! Watanzania sio wajinga kiasi hicho kumpa mwizi Ikulu!!
 
Tusubiri kauli ya Nape...sasa lowasa kasema kama wengine ambao hawajafungiwa, je akaongezewa adhabu?
 
Alafu kawanunua mashekh wa bagamoyo kisha anamsingizia Prof; Dr; Jakaya M. Kikwete eti ndiye kamtumia ujumbe mzito wa hao mashekh. Mbinu chafu hizo na ni kumsingizia mhe. Rais kwani tunajua mhe. Rais hajafanya hivyo

Hizi tuhuma zako ni nzito sana, kwamba Mh. Rais wa JMT kasingiziwa na hongo kutolewa, ni makosa kumtaja rais hovyo hovyo na pia kutuhumu watu wengine kuhongwa. Tafadhali thibitisha;

1. kuhongwa kwa hao mashehe
2. kusingiziwa kwa rais
 
Huyu bwana anatupa mashaka maana anatumia nguvi nyingi sana kutaka kuingia Ikulu.

Ninawashangaa sana wanaomuunga mkono huyu bwana bila kujiuliza ana nia gani hasa na hii nchi.
mkuu kama jk ameweza kuwa rais wa nchi hii sembuse lowasa?
 
Lowasa hafai kuwa Rais wa Tanzania. Atasababisha wananchi wale nyasi

Vp kwa mfano ndo amepitishwa na kamati kuu kusimama kama mgombea wa ccm;je utampa kura yako au utampa mgombea wa UKAWA?
 
Ccm sio wajinga kumpitisha huyu fisadi wameona madhara ya anaepumzika alivyousaka urais kwa uchu mkubwa.
Ila ni haki yake kikatiba pamoja na kwamba hana sifa za kuwa Mgombea wa ccm

Mkimkata jina anaenda kujiunga na ACT.
 
Pigeni kelele tu mwezi wa kumi na moja anahapishwa kuwa rais, lowasa is unstopable



Ama kweli wajinga ndio waliwao! Fufuka Nyerere uone madudu wayafanyayo hawa watoto wa nchi yako yenye mafisadi wanaoshangiliwa, wanapeana vyeo ili kulindana ktk wizi wa mapesa! Ikulu kuna nini jamani!?

Ndo kusema Membe sio chaguo la mzee? Nilinde nitakulinda.hao masheikh kweli walitumwa na mzee? Sitaki kuamini mimi kama mzee amefanya hivyo.
Hivi NEC haiwezi kumpiga chini mzee Motika? Je huyo ni mwema kuliko mtoto wa mkulima au magufuli au basi Professor? Mtikila komaa utapata bila chama maana hao wapinxani wako ni wepesi sana kama uzito wa unyoya ikiwa hawatscheza mbinu mbaya.

Pigeni kura tu muiangamize nchi ya Nyerere kisha laana ya umasikini itatanda kwa miaka mingine 10 mbele yetu.
Nchi ya watu wadogo!
 
Back
Top Bottom