mchaga pori
Senior Member
- Jan 8, 2015
- 130
- 41
Nani anafaa kwako wew?
Waziri mkuu aliejiuzulu,Edward Lowassa, ametangaza rasimi nia yake ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM baada ya kuombwa kufanya hivyo na masheikh wapatao 50 kutoka Bagamoyo ambao pia walimkabidhi sh 700,000 kwa ajili hiyo.
Chanzo:Magazti Channel 10
My take:
Mbinu hizi anazotumia Lowassa ndio zitakazommaliza maana nina hakika wenzake ndani ya chama hawazipendi ingawa si kosa na ni utamaduni wa muda mrefu tu.
Waziri mkuu aliejiuzulu,Edward Lowassa, ametangaza rasimi nia yake ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM baada ya kuombwa kufanya hivyo na masheikh wapatao 50 kutoka Bagamoyo ambao pia walimkabidhi sh 700,000 kwa ajili hiyo.
Chanzo:Magazti Channel 10
My take:
Mbinu hizi anazotumia Lowassa ndio zitakazommaliza maana nina hakika wenzake ndani ya chama hawazipendi ingawa si kosa na ni utamaduni wa muda mrefu tu.
Hata hao masekhe kawatafuta yeye kawapa nauli na hela kuacha nyumbani kwa mda wa mwezi mmoja.
Alafu kawanunua mashekh wa bagamoyo kisha anamsingizia Prof; Dr; Jakaya M. Kikwete eti ndiye kamtumia ujumbe mzito wa hao mashekh. Mbinu chafu hizo na ni kumsingizia mhe. Rais kwani tunajua mhe. Rais hajafanya hivyo
ocampo four na laki si pesa njooni mthibitishe hayaTaarifa zilizopo ni kwamba hata hizo shilingi 700,000 amezitoa yeye mwenyewe
Taarifa zilizopo ni kwamba hata hizo shilingi 700,000 amezitoa yeye mwenyewe
Taarifa zilizopo ni kwamba hata hizo shilingi 700,000 amezitoa yeye mwenyewe
Atatimkia act muda utakapofika.Ccm sio wajinga kumpitisha huyu fisadi wameona madhara ya anaepumzika alivyousaka urais kwa uchu mkubwa.
Ila ni haki yake kikatiba pamoja na kwamba hana sifa za kuwa Mgombea wa ccm
Siyo mbinu hizo hizo zilitumika 2005?!Alafu kawanunua mashekh wa bagamoyo kisha anamsingizia Prof; Dr; Jakaya M. Kikwete eti ndiye kamtumia ujumbe mzito wa hao mashekh. Mbinu chafu hizo na ni kumsingizia mhe. Rais kwani tunajua mhe. Rais hajafanya hivyo