Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais

Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais

mtatukana sana,lakini Edo ndo rais, mtamchafua sana lakini Edo ataibuka mshindi

Loosers wanatapatapa lakini ukweli wanaujua japo ni mchungu kwao kwamba Lowasa ndiye rais wao.
 
Kama Raia niliyehudhulia udhamini wa wana CCM waliojitokeza mkoani Kilimanjaro kumdhamini, LOWASSA alichosema ni kwamba ashawapiga magori wagombea wengine wa CCM hasa kwa kupata idadi kubwa ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini.

Ufisadi unaousema ungetuonesha hapa vyanzo vya taarifa ya ufisadi wake tungeamini lakini kwa kuwa unaongea usichokijua nakuona kama mwehu, No research No Right to speak

unadhani wingi wa watu wanaohudhuria kumdhamini ndio utampeleka ikulu huyo fisadi anayenuka kila aina ya uchafu?
 
UNAPOTUHUMU MTU,
UJUE NA JINSI YA KUTHIBITISHA!
AMKA!! PELEKA VITHIBITISHO VYAKO MAHAKAMANI ,MAHAKAMA ZIPO WAZI ZINASUBIRI USHAHIDI WAKO,./i

unadhani hizo mahakama za CCM zinaweza kweli kuwadhibiti mafisadi wa CCM?
 
Kama Raia niliyehudhulia udhamini wa wana CCM waliojitokeza mkoani Kilimanjaro kumdhamini, LOWASSA alichosema ni kwamba ashawapiga magori wagombea wengine wa CCM hasa kwa kupata idadi kubwa ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini.

Ufisadi unaousema ungetuonesha hapa vyanzo vya taarifa ya ufisadi wake tungeamini lakini kwa kuwa unaongea usichokijua nakuona kama mwehu, No research No Right to speak
Fomu ya udhamini ya CCM inahitaji watu 30 tu. There is no way unaweza kuzidisha wadhamini katika fomu unayoiwakilisha CCM. Sasa magoli yepi kawafunga wenzake? Ndio maana Sita alirudisha fomu muda mfupi tu Kwani kupata wadhamini 30 wala sio kazi
 
Lowasa ni alianza na Mungu atamaliza na Mungu,God bless our president

mungu gani huyo anaeruhusu wizi na visasi? Kifupi Edward ameanza na shetani na atamalizana nae pale kamat kuu ya cc itakapotupilia mbali jina lake.
 
Lowassa amepoteza uaminifu miaka mingi sana
 
Fomu ya udhamini ya CCM inahitaji watu 30 tu. There is no way unaweza kuzidisha wadhamini katika fomu unayoiwakilisha CCM. Sasa magoli yepi kawafunga wenzake? Ndio maana Sita alirudisha fomu muda mfupi tu Kwani kupata wadhamini 30 wala sio kazi

yeye anazidisha ili kutafuta umaarufu wa kijinga. ni sawa na mwanafunzi anayesoma masomo ya DS na BAM kwa bidii huku akijitoa akili kwamba akiscore A+ atajaziwa S! ni sawa kabisa na huyu fisadi lowassa, mpenda sifa anayetafuta umaarufu uchwara kwa kuhonga wananchi wenye njaa kutumia fedha za wizi.
 
Inaonekana Lowassa anawanyima wengi sana usingizi maana kila kukicha jina lake lipo midomoni mwenu!! Na badooo subirini
 
Hivi Lowassa anawatetemesha sana ee??? .mkiamka Lowassa, mkila Lowassa. ..si ajabu hata mkiwa na wake zenu mnamtaja Lowassa. Sasa kwa nn mnapingana na nafasi zenu kua Lowassa ndio mpango mzima. Ndio jembe, jemedari wetu atakaempokea kijiti Rais wetu mpendwa JK.
Wakati mnanung'unika huku kwa maswala yasiyo na tija. LOWASSA NDIO ANAZIDI PASUA ANGA. Tunaelewa anatimua vumbi kali lazma muweweseke kidogo. Ushauri wa bure badala ya kubakia kutimuliwa vumbi mgetumia hiyo nguvu kwenda kujenga hoja za wagombea wenu kwa wananchi ili angalau kujaribu kupunguza kishindo cha ushindi wa Lowassa kupunguza aibu .isiwe kubwa sana. Maana safari hii hata wapinzani watampigia kura EDWARD LOWASSA.
Mjiandae kisaikolojia ushindi wa Lowassa ni wa uhakika kwani alianza na Mungu na atamaliza na Mungu

Kusemwa sana kusikutishe, hata wewe mwenyewe unaweza ukaàndikwa sana kama unabisha siku moja amka hujavaa nguo alafu tembea nje zunguka mtaani alafu urudi nyumbani then uone kama hautaandikwa daily
 
Wakati bado majina ya watia nia wa CCM hayajafika Kamati Kuu (CC) ya CCM, Lowassa ameibuka na kutamba kuwa tayari AMEFUNGA MAGOLI YA URAIS.

Chanzo: NIPASHE

MAONI YANGU
Ni magoli gani aliyoyafunga huyu FISADI hadi anafika hatua ya kutamba kiasi hiki? Je, anadhani kwamba fedha zake za wizi zinaweza kumnunua kila mtanzania?

:israel:
Kuacha shughuli zako na kuanza kuandika kuhusu Lowasa ni goli pia!
 
hahahaha yan kama jamaa hatopita bhas kutakuwa na mambo ya hatari sana tena ya kimya kimya, na tena na wasiwasi na baadhi ya wagombea kupotea kabisa na wakija onekana wanasema wameghail kugombea
 
Wakati bado majina ya watia nia wa CCM hayajafika Kamati Kuu (CC) ya CCM, Lowassa ameibuka na kutamba kuwa tayari AMEFUNGA MAGOLI YA URAIS.

Chanzo: NIPASHE

MAONI YANGU
Ni magoli gani aliyoyafunga huyu FISADI hadi anafika hatua ya kutamba kiasi hiki? Je, anadhani kwamba fedha zake za wizi zinaweza kumnunua kila mtanzania?

:israel:
Magoli ya kisigino anayojifunga kila kukicha, ndo anamaanisha!
 
Last edited by a moderator:
hahahaha yan kama jamaa hatopita bhas kutakuwa na mambo ya hatari sana tena ya kimya kimya, na tena na wasiwasi na baadhi ya wagombea kupotea kabisa na wakija onekana wanasema wameghail kugombea

inasikitisha kuona watu ambao walipaswa kuwa gerezani wakitumikia vifungo vya maisha wapo majukwaani wakiusaka urais. nchi hii ni ya ajabu sana. na cha ajabu zaidi, hadi anadiriki kutaja jina la messi na ronald! huyu mzee si mzima hata kidogo...ule ugonjwa unaompeleka ujerumani kila mwezi umeishaanza kumtafuna akili...siku sio nyingi ataanza kuokota makopo jalalani.
 
Hivi Lowassa anawatetemesha sana ee??? .mkiamka Lowassa, mkila Lowassa. ..si ajabu hata mkiwa na wake zenu mnamtaja Lowassa. Sasa kwa nn mnapingana na nafasi zenu kua Lowassa ndio mpango mzima. Ndio jembe, jemedari wetu atakaempokea kijiti Rais wetu mpendwa JK.
Wakati mnanung'unika huku kwa maswala yasiyo na tija. LOWASSA NDIO ANAZIDI PASUA ANGA. Tunaelewa anatimua vumbi kali lazma muweweseke kidogo. Ushauri wa bure badala ya kubakia kutimuliwa vumbi mgetumia hiyo nguvu kwenda kujenga hoja za wagombea wenu kwa wananchi ili angalau kujaribu kupunguza kishindo cha ushindi wa Lowassa kupunguza aibu .isiwe kubwa sana. Maana safari hii hata wapinzani watampigia kura EDWARD LOWASSA.
Mjiandae kisaikolojia ushindi wa Lowassa ni wa uhakika kwani alianza na Mungu na atamaliza na Mungu
Halafu haya majiyu ukiyauliza mtia nia wanayemtaka utasikia UKAWA! Ukawa ni nani? Hata jina hawana na hawajui wanamtaka nani. Kila siku EL EL EL!
 
lowassa ni JOKA LA MDIMU linalovizia rasilimali za taifa kwa kutumia kila hila chafu.
Wewe ndo bure kabisa.Ina maana JOKA LA MDIMU hulijui? Ngoja wenye joka lao wapitie hapa utaona cha mtema kuni.
 
Loosers wanatapatapa lakini ukweli wanaujua japo ni mchungu kwao kwamba Lowasa ndiye rais wao.

Raisi wa nini mkuu!? Labda atakuwa raisi wa familia yako, lakini sio watz tuliofikia ml 54! Kinachokupa kiburi ni kitu gani hadi ujiaminishe kwa atakua raisi!
 
Raisi wa nini mkuu!? Labda atakuwa raisi wa familia yako, lakini sio watz tuliofikia ml 54! Kinachokupa kiburi ni kitu gani hadi ujiaminishe kwa atakua raisi!

I can't imagine ni jinsi gani unavyoumia haswa unapojijua fika unajitahidi kupingana na ukweli unaouona zahir bin shahir!
 
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, amezidi kupata maelfu ya wanachama wa CCM kumdhamini huku akisema kutokana na wingi wa watu wanaojitokeza tayari ameshafunga magoli ya urais.

Lowassa aliwasili jana katika mkoa wa Kilimanjaro akitokea Tanga na kupata wadhamini 33,780 katika mkoa wa Kilimanjaro.

Akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi, Lowassa alisema anajivunia rekodi yake kwa Watanzania kutokana na kumjua na kujua nguvu yake katika utendaji kazi.

“Nadhani wale wenzangu 36 wakiona umati huu watajua na kujionea kuwa nimeshafunga magoli, tena magoli yenyewe ni sawa na yanayofungwa na Ronaldo (Cristian) na Messi (Lionel) hayana ubishi,” alisema Lowassa.

Alisema nia yake ya kugombea urais ni kutokana na kujiamini, ana uwezo, anatosha na amegombea ili ateuliwe na Chama hicho aweze kupambana na umaskini katika Taifa lenye rasilimali nyingi.

Akitangaza idadi ya watu waliojitokeza kumdhamini Lowassa, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Cyril Chami, alisema Lowassa amepata wadhamini 33,780 katika mkoa huo.

Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoani humo, Vick Nsilo Swai, alisema akinamama wa mkoa huo watahakikisha anashinda katika safari yake ya matumaini kutokana na utendaji aliouonyesha.


Chanzo: NIPASHE

MAONI YANGU
Ni magoli gani aliyoyafunga huyu FISADI hadi anafika hatua ya kutamba kiasi hiki? Je, anadhani kwamba fedha zake za wizi zinaweza kumnunua kila mtanzania?

:israel:
Kamanda! Emmanuel Makaidi,kaishawambia UKAWA msihangaike na wagombea wa CCM mnawapigia kampeni.
 
Back
Top Bottom